• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Wilaya ya Mtwara

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Evod Mmanda

Wilaya ya Mtwara imepakana na Bahari ya Hindi upande wa Mashariki, mkoa wa Lindi upande wa Kaskazini, wilaya ya Tandahimba upande wa Magharibi na nchi ya Msumbiji kwa upande wa Kusini. Wilaya ina eneo la kilometa za mraba 3,760. Aidha kwa wastani eneo kubwa la Wilaya lipo kati ya mita 0 hadi 350 kutoka usawa wa bahari.

Eneo hili kwa sasa limegawanyika katika Halmashauri tatu ambazo ni Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani yenye kilometa za mraba 163, Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara yenye kilomita za mraba 2,159, Halmashauri ya Mji Nanyamba yenye kilometa za mraba 1,438.

Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi iliyofanyika tarehe 26 mwezi Agosti, Mwaka 2012, Wilaya ilikuwa na jumla ya watu 342,982 wakiwemo wanawake 181,102 na wanaume 161,880. Kufikia mwaka huu 2017, wilaya inakadiriwa kuwa na watu 358,866.

-

Matangazo

  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2019 December 15, 2018
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Mpangilio wa halmashauri /manispaa kwa ubora wa ufaulu katika mtihani wa kidato cha Nne (CSEE) 2017 February 06, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • DC Newala Akabidhi Vifaa Vya Ujenzi kwa Shule za Msingi na Secondari

    November 28, 2019
  • Viongozi watakiwa kuhamasisha chanjo ya Surua, Rubella na Polio

    October 17, 2019
  • Kampeni ya shule ni choo yaanza kwa mafanikio

    October 13, 2019
  • Kampeni ya shule ni choo yaanza kwa mafanikio

    October 13, 2019
  • Tazama Zote

Video

Mashamba ya Ufuta ya halmashauri kuanzishwa Mtwara
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Investment Projects
  • Tazama matangazo ya TBC1 Mubashara Hapa

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.