• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

CRDB waongeza nguvu mapambano ya CORONA Mtwara

Posted on: April 16th, 2020



CRDB wapiga Tafu mapambano ya CORONA Mtwara

Katika kuhakikisha jamii ya wanaMtwara wanakuwa salama dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 Benki ya CRDB Tawi la Mtwara imetoa msaada wa ndoo za 30 za kunawia pamoja na sabuni galoni 14. Vifaa hivyo vimekabidhiwa leo Aprili 16, 2020 kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasisus Byakanwa katika tukio fupi lililofanyika kwenye viwanja vya wazi vya ofisi ya Mkuu wa Mkoa huku tahadhari zote za kuenea kwa ugonjwa huo zikizingatiwa.

Akikabidhi msaada huo Meneja wa CRDB Kanda ya Kusini Bi, Jenifer Tondi Amesema Benki ya CRDB inathamini jitihada zinazofanywa na serikali katika kupambana na ugonjwa huu na hivyo wameona umuhimu wa kuongeza nguvu ili kutokomeza janga hili.

“CRDB tukiwa kama jamii ya wanamtwara tunawajibika moja kwa moja kushirikiana na serikali katika jitihada za kuzuia maambukizi, hivyo tumeona tuongeze nguvu katika kile tulichojaliwa” Amesema Jenifer.

Akipokea Msaada huo Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa amesema msaada huo ni muhimu sana kwa wananchi wa Mkoa wa Mtwara hasa katika kipindi hiki ambacho serikali inafanya kila jitihada kuhakikisha inawakinga wananchi dhidi ya ugonjwa huu. Aidha ameagiza msaada huo uelekezwe kwa waendesha Pikipiki maarufu kama Bodaboda. Amesema Bodaboda ni kundi mojawapo katika jamiii ambalo linafanya shughuli nyingi na lipo kwenye Hatari ya kuambukizwa hivyo wanapaswa kukingwa na maradhi haya.

“Kuna maeneo ambayo yanachangamoto. Na kwa msaada huu nauelekeza kwenye vituo vya Bodaboda. Bodaboda wanachukua abiria wengi lakini wengi wao hawajachukua tahadhari ya kunawa. Kupitia Msaada huu vituo vingi vya Bodaboda hasa vilivyoko ndani ya manispaa watakuwa na chachu ya kuchukua tahadhali YA kujikinga na ugonjwa huu hatari.” Amesema Byakanwa.



Matangazo

  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Mpangilio wa halmashauri /manispaa kwa ubora wa ufaulu katika mtihani wa kidato cha Nne (CSEE) 2017 February 06, 2018
  • Mpangilio wa mikoa kwa ubora wa ufaulu katika mtihani wa kidato cha Nne (CSEE) 2017 February 06, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Maafisa Tarafa wakabidhiwa Pikipiki Mtwara

    May 18, 2020
  • RC Mtwara amlilia DC Mmanda

    April 27, 2020
  • Watanzania washauriwa kuwekeza kwenye kutengeneza Barakoa

    April 17, 2020
  • CRDB waongeza nguvu mapambano ya CORONA Mtwara

    April 16, 2020
  • Tazama Zote

Video

C Byakanwa apiga marufuku mahindi ya kuchoma. awataka wananchi kutunza chakula
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Investment Projects
  • Tazama matangazo ya TBC1 Mubashara Hapa

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.