• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

changamoto ya usafiri Maafisa Tarafa Mtwara sasa basi

Posted on: June 20th, 2018

Changamoto ya usafiri kwa Maafisa Tarafa wa Mkoa wa Mtwara imepata ufumbuzi baada ya Serikali ya Mkoa kuwanunulia pikipiki. Pikipiki hizo 20 ambazo zimegawiwa leo kwa walengwa zimegharimu shilingi milioni 48 ambazo zimepatikana baada ya Serikali ya Mkoa kutenga fedha hizo katika bajeti yake ya mwaka 2017/2018. Akizungumza juu ya upatikaji wa pikipiki hizo wakati wa zoezi la kuwakabidhi walengwa lililofanyika leo katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara  Alfred Luanda amesema idadi hiyo ya pikipiki inawafanya Maafisa Tarafa wote waliopo kwa sasa kufikiwa.

Video ya tukio bonyeza hapa

Awali akikabidhi pikipiki hizo Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa amewataka Maafisa Tarafa kufanya kazi kwa kujituma na kwamba Serikali inawathamini. Aidha, amewataka wahakikishe wanazitunza kwa kuzifanyia matengenezo ya mara kwa mara ili zidumu na kutimiza malengo yaliyokusudiwa.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti, Maafisa Tarafa, Octavian Lyapembile wa Tarafa ya Mikindani pamoja na Marko Mapunda wa Tarafa ya Mangaka Nanyumbu wamesema wamepokea vyombo hivyo vya usafiri  kwa furaha na kwamba Serikali itegemee mabadiliko chanya ya utendaji kazi. Wanasema walikuwa na changamoto kubwa ya usafiri kutokana na ukubwa wa maeneo yao ya Utawala jambo ambalo lilikuwa likiwalazimu kutembea kwa miguu kwa umbali mrefu na kusababisha kutokufikia maeneo yao ya utawala kwa wakati hivyo kufanya utendaji kazi kuwa mgumu. Kwa kupatikana kwa vyombo hivyo sasa kazi imekuwa nyepesi.



Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA.

    June 24, 2025
  • MKURUGENZI MPYA NANYAMBA NA DAS MPYA MTWARA WATAKIWA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO

    June 23, 2025
  • MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUPUNGUZA UTEGEMEZI KWA WAFADHILI.

    June 28, 2025
  • MAREKANI KUTUMIA BANDARI YA MTWARA KUSAFIRISHA BIDHAA

    June 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.