• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC Mtwara amlilia DC Mmanda

Posted on: April 27th, 2020

Mheshimiwa Mmanda akila kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara mbele ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Halima Dendego (hayupo Pichani), Januari 2017.  


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa amethibitisha kutokea kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Evod Mmanda aliyefariki usiku wa kumukia leo katika hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mtwara, Ligula alikokuwa akipatiwa matibabu.

“Jumamosi jioni alilazwa kwenye hospitali yetu ya rufaa ya mkoa Ligula. Jana jioni niliongea naye akanieleza kwamba anaendelea vizuri lakini jioni hali yake ilibadilika”.

 

Mheshimiwa Byakanwa amesema mazishi ya Mhe. Mmanda yatafanyika mjini Mtwara na kuhudhuriwa na watu wasiozidi kumi yakiongozwa na serikali.

“Kama mnavyojuwa tuko katika kipindi kigumu sana cha ugonjwa wa CORONA. Tuna makatatazo mbalimbali ya kuzuia mikusanyiko na misongamano ya aina yoyote. Kutokana na utaratibu huo nishukuru familia ya marehemu Pamoja na ndugu tumekubaliana kwamba sisi serikali ndiyo tutakaosimamia mazishi yake na hatutakuwa na kusafirisha mwili. Mazishi yatafanyika hapa Mtwara.”

 

Byakanwa ametoa pole kwa wanamtwara, wanaCCM, na watumishi wote. Amesema Mheshimiwa Mmanda alikuwa mchapakazi shupavu ambaye alikuwa amejitoa muda wake mwingi katika kuitumikia nchi. Mwenyezi Mungu amempenda Zaidi tunapaswa kuendelea kumuombea kwa mwenyezi Mungu. Amesema Byakanwa.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA ATOA SIKU SIKU 10 KUBAINI WAKULIMA AMBAO HAWAJAPATA PEMBEJEO

    July 08, 2025
  • KAMPENI YA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO YAZINDULIWA MTWARA

    July 05, 2025
  • MAREKANI KUTUMIA BANDARI YA MTWARA KUSAFIRISHA BIDHAA

    June 30, 2025
  • MAREKANI YAVUTIWA KUWEKEZA MTWARA

    June 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.