• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Wakulima wa Korosho kulipwa madeni yao

Posted on: August 3rd, 2019

Serikali imeahidi kuwalipa wakulima wote wa korosho ambao hadi sasa hawajalipwa malipo yao ya msimu wa 2018/2019.

Ahadi hiyo imetolewa leo na Mkuu wa Wilaya ya Masasi,  Mhe. Selemani Mzee wakati anazindua maonesho ya NANENANE kwa kanda ya Kusini, yanayofanyika katika viwanja vya Ngongo, Manispaa ya Lindi.

Seleman ambaye alikuwa Mgeni Rasmi kwa niaba ya Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Selemani Jaffo, alisema serikali imedhamiria kuwalipa wakulima wote Ambapo
zoezi la malipo linaendelea.

Mzee amesema wakulima hao pamoja na wale ambao walinunua zao hilo nje ya mfumo rasimi (kangomba) ambao wamepeleka barua za kukiri kununua nje ya mfumo rasmi na wameomba radhi na watalipwa.

'' Walionunua kwa kangomba na waliotii agizo la mheshimiwa Rais kuwa wakiri na waombe msamaha watalipwa kama alivyoahidi. Kwa bahati nzuri wamejitokeza, wamekiri na wameomba msamaha na barua zao tumepokea,'' Amesisitiza Mzee.

Aidha, amekipongeza kituo cha uwekezaji nchini kwa kuandaa kongamano lililosababisha kampuni 14 na washiriki 300 kushiriki kujadili mambo mbalimbali yanayohusu zao hilo.

Kufuatia hali hiyo, Mkuu huyo wa wilaya ya Masasi, kwaniaba ya waziri wa TAMISEMI amewaomba wakulima waongeze uzalishaji katika msimu huu wa 2019/2020. Kwani changamoto za msimu uliopita zimefanyiwa kazi.

Alisisitiza kwamba serikali inatambua umuhimu wa kilimo na wakulima katika uchangiaji wa uchumi wa nchi. Hivyo kwakuzingatia ukweli huo inabeba dhamana ya kuaandaa maonesho hayo kila mwaka.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.