• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Waziri Ummy aridhishwa na Ujenzi Hospitali Kanda ya kusini.

Posted on: December 24th, 2019

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini inayojengwa katika eneo la Mitengo Manispaa ya Mtwara Mikindani.

Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea hospitali hiyo amesema hiyo inaashiria uwezekano wa kufikiwa kwa lengo la serikali la kuhakikisha hospitali hiyo inaanza kazi Julai Mosi, 2020.

Amemtaka mkandarasi wa ujenzi huo ambaye ni Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuhakikisha anafanya kazi usiku na mchana ili kufanikisha lengo.

Waziri Ummy ambaye alikuwa katika ziara ya siku moja mkoani hapa, pia ametembelea Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mtwara, Ligula na kuridhishwa na upatikanaji wa dawa katika Hospitali hiyo huku akiagiza hospitali zote za wilaya na vituo vya afya kuanzisha mifuko ya dawa ili kuhakikisha upatikanaji wa dawa unakuwa endelevu.

Matangazo

  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Mpangilio wa halmashauri /manispaa kwa ubora wa ufaulu katika mtihani wa kidato cha Nne (CSEE) 2017 February 06, 2018
  • Mpangilio wa mikoa kwa ubora wa ufaulu katika mtihani wa kidato cha Nne (CSEE) 2017 February 06, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • Maafisa Tarafa wakabidhiwa Pikipiki Mtwara

    May 18, 2020
  • RC Mtwara amlilia DC Mmanda

    April 27, 2020
  • Watanzania washauriwa kuwekeza kwenye kutengeneza Barakoa

    April 17, 2020
  • CRDB waongeza nguvu mapambano ya CORONA Mtwara

    April 16, 2020
  • Tazama Zote

Video

C Byakanwa apiga marufuku mahindi ya kuchoma. awataka wananchi kutunza chakula
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Investment Projects
  • Tazama matangazo ya TBC1 Mubashara Hapa

Kurasa Mashuhuri

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.