Mafanikio makubwa katika uzalishaji wa zao la Korosho yaliyopatikana katika kipindi cha awamu ya tano mkoani Mtwara yamewagusa wananchi na sasa wanamtaka Rais Magufuli aendelee kuongoza nchi kwa miaka 30.
Wakulima hao wanadai awam zote za uongozi zlizopita zimefanya mengi mazuri lakini wakulima walikuwa hawajapewa nafasi ya kunufaika na kilimo kama ilivyo sasa.
Bei ya saruji inatarajia kushuka. ajira kuongezeka mara baada ya kumalizika kwa ujenzi wa miundombinu ya kuingiza umeme wa gesi asilia katika kiwanda hicho
Mkuu wa mkoa atembela shule zilizokonga mitandao kwa kusomea chini ya mikorosho. ujenzi wake kukamilika sasa
Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.