• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA.

Posted on: June 27th, 2024

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Newala kufatilia vikundi ambavyo vilipata mikopo ya asilimia Kumi na havijarejesha mikopo yao kuhakikisha wanarejesha mikopo hiyo.

Kanali Sawala amesema hayo kwenye baraza maalum la madiwani lililokuwa linajadili hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Kanali Sawala ameongeza kuwa Halmashauri hiyo ilikopesha vikundi shilingi milioni Themanini na Tano lakini ni vikundi vichache ambavyo vimeweza kurejesha fedha.

Aidha ametumia baraza hilo kuwataka viongozi wa Halmashauri hiyo kuendelea kujipanga ili kuongeza mapato ya Halmashauri.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Newala Mwangi Kundya amesema Halmashauri hiyo imeendelea kufanya vizuri katika makusanyo yake na wanaendelea kubuni vyanzo mbalimbali vya mapato ili kupata fedha za kutekeleza miradi ya maendeleo.

Akihitimisha kikao hicho cha baraza maalum la madiwani mwenyekiti wa Halmashauri hiyo ameipongeza serikali kwa kuendelea kuleta fedha za kujenga miradi ya maendeleo ili kuwaletea wananchi maendeleo.

Halmashauri ya wilaya ya Newala imepata hati safi kwa mwaka wa fedha 2022/2023 huku Mkuu wa Mkoa akiwataka viongozi wa Halmashauri hiyo na wataalam kuhakikisha wanajibu hoja moja iliyobaki na taarifa ya utekelezaji wa hoja hiyo ufike ofisini kwake.


Juni 27, 2024.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.