• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

BILIONI 268 KUMALIZIA BARABARA YA MTWARA – NEWALA HADI MASASI KWA KIWANGO CHA LAMI

Posted on: November 25th, 2021

Serikali ya Tanzania imepokea mkopo wa Shilingi Bilioni 268 kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa Barabara ya Mnivata - Newala hadi Masasi kwa kiwango cha lami kwa  urefu wa Kilomita 160.

Barabara ya Mtwara –Newala –Masasi (210km) ni sehemu ya Barabara ya Kusini inayotoka Mtwara hadi Masasi kupitia Tandahimba na Newala. Barabara hiyo imetambuliwa kama ukanda wa kimkakati katika mtandao wa barabara Tanzania. Barabara ya Mtwara-Newala-Masasi inaanzia Magomeni mkoani Mtwara ambayo ni takriban kilomita 5 kutoka katikati ya mji wa Mtwara na kuishia Masasi ambapo inaungana na Barabara ya Mingoyo-Tunduru.

Kwa hatua ya awali barabara hiyo ilijengwa kwa kiwango cha lami kilomita 50 kutoka Mtwara hadi Mnivata, na kubakiza kilomita 160.

Akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mkopo huo Dar es salaam leo tarehe 25/11/2021, Katibu Mkuu Wizara ya fedha na Mipango, Emmanuel Tutuba amesema kujengwa kwa Barabara hiyo kutafungua fursa nyingi za ufanyaji wa biashara kutoka Bandari ya Mtwara kwenda maeneo mengi na Nchi na Mataifa ya jirani na pia kurahisisha shughuli za uchumi ikiwemo utafiti wa gesi ya Mtwara.

 Amesema mkopo huo pia utawezesha ujenzi wa Daraja Mwiti lenye urefu wa Kilomita 83 pia kununua magari mawili ya kubebwa wagonjwa katika maeneo ya mradi huo.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.