• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI NA MAFANIKIO YA ZIARA YAO MKOANI MTWARA

Posted on: January 18th, 2025

Washiriki wa kozi ndefu ya 13 kutoka chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) kutoka nchi 16 ikiwemo Tanzania leo tarehe 18 Januari 2025 wamehitimisha ziara yao ya mafunzo mkoani Mtwara.

Akizungumzia umuhimu wa ziara hiyo, kiongozi wa msafara huo Brigedia Jenerali Eric Mhoro ameeleza kuwa washiriki hao wamejifunza mambo mbalimbali ikiwemo kilimo hususan cha korosho pamoja na uzalishaji wa gesi ambayo inanufaisha nchi nzima.

“Masomo yetu yanahusu masuala ya kimkakati kama afya, kilimo, uchumi na mengineyo, maeneo yote ambayo tumetembelea tumeona kwa vitendo vile tulivyokuwa tunajifunza darasani kwamba nchi yetu imepiga hatua kubwa kwenye uzalishaji hasa kwenye kilimo, biashara hata kwenye ajira kwa vijana tumeona jinsi serikali imewawezesha vijana kujiinua kiuchumi. Hata nchi ambazo tunasoma nao pamoja, nao wamejifunza mengi.” Alieleza mmoja wa washiriki wa kozi hiyo Bi. Edith Simtengu

Brigedia Jenerali Mhoro amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala kwa kuratibu vema ziara yao kwa siku zote nne walizokuwa mkoani hapa.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.