• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

DC Waryuba awataka wananchi kujiandaa na uchaguzi Mkuu.

Posted on: August 29th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Mhe. Sebastian Waryuba amewataka wananchi wa Wilaya ya Tandahimba kujiandaa na uchaguzi wa serikali za Mitaa. wito huo ameutoa wiki hii katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Mchichira kata ya Mchichira Tarafa ya Mchichira wilayani hapo.

Amesema uchaguzi wa serikali za Mitaa unatarajiwa kufanyika Novemba 24, 2019 hivyo wananchi wanapaswa kujiandaa kuhakikisha wanashiriki kikamilifu ili kuwapata viongozi bora.

“Wananchi hakikisheni mnatumia haki yenu kuchangua viongozi bora. Hawa ndio mtawapa mamlaka ya kuwaongoza katika kujiletea maendeleo” amesema Walyuba

 Aidha, Mhe. Waryuba amewaambia wakulima wa korosho ambao bado hawajapata pesa zao kuwa watapatiwa pembejeo kwa asilimia mia moja bila kutoa malipo yoyote na kwamba wakishapatiwa pesa zao ndipo watakapolipa madeni hayo.

Katika mkutano huo uliohudhuriwa na umati mkubwa wa watu Mheshimiwa Waryuba ameuvunja uongozi wa kikundi Cha wakulima cha Mpunga maji ambacho kimeshindwa kuuendesha mradi wa mashine ya kukoboa mpunga ulioanzishwa na serikali kwa lengo la kuongeza thamani ya zao la mpunga na kuinua kipato cha wakulima.

Amesema viongozi hao wameshindwa kuendana na Kasi ya serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli kwani wamekuwa wakisababisha  migogoro isiyokwisha.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.