• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Dkt. Mpango aguswa na changamoto ya Ulinzi wa Mpaka wa Mtwara na Msumbiji

Posted on: August 22nd, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Evod Mmanda akimuonesha Mhe. Waziri mazingira ya mpaka wa Kilambo ulioko mpakani mwa Tanznia na Msumbiji wilayani Mtwara.


Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Philip Mpango ameahidi kutatua changamoto ya usafiri kwa kituo cha Forodha Kilambo kilichoko wilayani Mtwara katika mpaka wa Tanzania na Msumbiji.

Kituo hiki kimekuwa kikifanya kazi katika mazingira magumu kutokana na tatizo la gari la usafiri kwa wafanyakazi hali ambayo imekuwa ikisababisha usumbufu katika suala la ulinzi na ukusanyaji wa mapato.

“Kituo chetu cha forodha hakina gari na mpaka wetu ndio hivi uko wazi kabisa, wananchi wanatembea, wanakatiza hapa mtoni, kwa hiyo udhibiti kiusalama, kimapato unakuwa mgumu sana. Tumekubaliana na viongozi wa mamlaka ya mapato kwamba kabla ya tarehe 15 mwezi wa tisa wawe wameleta gari kwa ajili ya kuhudumia kituo hiki”.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na Usalma Wilaya ya Mtwara ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mheshimiwa Evod Mmanda amemshukuru Mheshimiwa Waziri. Amesema muingiliano wa watu wa Mtwara na Msumbiji ni mkubwa kwa sababu ni watu wa jamii moja, kabila moja na dini moja. Amesema kwa hali kama hiyo ni rahisi mtu mwenye nia mbaya kujipenyeza. Hata hivyo bado ulinzi wa mpaka umeimarika

“Hatujawa na tatizo na ndio maana tunajivuna kwamba Mtwara iko shwari. Tunazungumza kwa kifua mbele kwamba wenye kuja waje. Mtwara iko salama Mtwara ni mahali pazuri panakalika.” Amesema Mmanda.


Video yake hii HAPA

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.