• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

HALMASHAURI KUU YA CCM MKOA WA MTWARA YAKOSHWA NA UTENDAJI WA RC SAWALA

Posted on: January 13th, 2025

Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mtwara imempa hati ya pongezi Mhe. Kanali Patrick Sawala, Kamisaa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kwa Usimamizi, ufuatiliaji na utekelezaji mzuri wa Ilani ya ya Uchaguzi 2020-2025 ya chama hiko.

Mnamo tarehe 7 na 8 Januari 2025 kamati ya siasa mkoa wa Mtwara ilitembelea na kukagua miradi ya maendeleo kwenye Halmashauri zote tisa za mkoa wa Mtwara yenye thamani ya Shilingi Bilioni 98.54 ambapo iliridhishwa na utekelezaji wake.

Kanali Sawala amekabidhiwa hati hiyo ya pongezi leo tarehe 13 Januari 2024 wakati wa kikao cha Halmashauri kuu ya CCM kilichoongozwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mtwara, Mwl.Said Nyengedi ambapo pia aliwasilisha taarifa ya utekelezaji Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa kipindi cha cha kuanzia Januari mpaka Desemba 2024.

“Ofisi ya Mkuu wa Mkoa inawachukulia hatua waendesha maghala wasio waaminifu, wanaocheza na korosho za wakulima kwa kisingizio cha unyaufu. Pia tumeanza kuwachukulia hatua viongozi wa vyama vya msingi wanaochelewesha au kudhulumu malipo ya wakulima.” Alieleza RC Sawala

Aidha, RC Sawala amewaomba viongozi hao kuwahamasisha wanachama wao kulima mazao ya chakula na kujiwekea akiba.

Mwl. Nyengedi amewaambia wajumbe wa kikao hiko kuwa chama bora cha siasa ni kile kinachowaunganisha wananchi na serikali yao, hivyo kuwataka wajumbe hao kushirikiana vema ili kuwaletea maendeleo wananchi.


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.