• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE UWEKEZAJI MITAJI YA UMMA (PIC) TANESCO HIARI MTWARA

Posted on: March 25th, 2024

TANESCO

KAMATI YA PIC YAFURAHISHWA NA UFUNGAJI WA MTAMBO WA UMEME MTWARA.


Kamati ya Kudumu ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma(PIC) imelipongeza shirika la umeme Tanzania –TANESCO kwakutelekeza mradi wa ufungaji wa mtambo mpya wa kuzalisha umeme megawati 20 ndani ya miezi mitatu.


Akizungumza wakati wa ziara ya kama hiyo Mwenyekiti wa Kamati ya (PIC) Deus Sangu  amesema kuwa mtambo huo unaenda kuondoa tatizo la umeme kwa mikoa ya Lindi na Mtwara.


Amesema kuwa mradi huo unauwezo wa kuzalisha megawati 20 ikiwa ni utelekezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu alipofanya ziara yake Septemba mwaka jana.


“Mikoa hii ilikuwa na changamoto kubwa ya umeme mtambo huu umesimikwa na kampuni ya kizalendo ambayo imefanyakazi nzuri na kwa wakati ni vema wakandarasi wengine wakaiga uzalendo huu Mradi huu unaenda kuleta mapinduzi makubwa”


Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mhandisi Gissima Nyamo-hanga   amesema kuwa huu mtambo wa utazalisha umeme megawati 20 ambao umekuja kuongeza nguvu ya uzalishaji wa umeme katika mikoa ya Lindi na Mtwara.


“Mradi huu umeshaanza kuzalisha umeme ambapo unaenda kuongeza megawati 20 na kituo cha zamani kinazalisha megati 21 ambapo kwa sasa zitakuwa megawati 41 hivyo kuleta ufanisi zaidi”


“Mtambo huu ni suluhu ya muda mfupi ambapo ipo suluhu ya muda mrefu ya kuleta mradi mkubwa wa umeme wa grid ya taifa ambapo hadi kufikia 2026 Mtwara itakuwa imeunganishwa kwenye grid ya taifa ambapo mitambo hii itabakia kuwa miradi ya dharula”


“Kuanzia mwezi huu tatizo la kukatika umeme kwa mikoa ya Lindi na Mtwara litakuwa limeisha ambapo huduma ya umeme itakuwepo bila kuwa na changamoto yoyote” amesema Nyamo-hanga.


Machi 25, 2024


#TunaifunguaMtwara

#KaziIendelee



Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MTWARA KUPELEKA TIMU UMITASHUMTA 2025

    June 03, 2025
  • TAASISI YA SPORT DEVELOPMENT AID IMETOA VIFAA VYA MICHEZO KWA WANAFUNZI

    June 02, 2025
  • UNICEF KUSAIDIA WATOTO MTWARA

    June 02, 2025
  • MSIMU WA 3 WA MADAKTARI WA SAMIA; MTWARA YAPOKEA MADAKTARI BINGWA 63

    June 02, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.