• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

KAMATI YA USHAURI MKOA MTWARA YAAZIMIA KUTOKOMEZA MALARIA

Posted on: December 21st, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala ameagiza kuundwa kwa timu maalumu itakayokuja na mkakati pamoja na utekelezaji ili kutokomeza malaria ndani ya mkoa wa Mtwara.

Kanali Sawala ametoa agizo hilo leo tarehe 21 Desemba 2024 wakati akiongoza kikao cha Kamati ya Ushauri Mkoa wa Mtwara (RCC) chenye lengo la kujadili utekelezaji wa shughuli mbalimbali za maendeleo.

Taarifa ya afya iliyowasilishwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Dkt. Benedicto Ngaiza imeeleza kuwa Mkoa wa Mtwara bado una kiwango kikubwa cha maambukizi ya ugonjwa wa Malaria ambapo mpaka kufikia Oktoba 2024 maambukizi yameongezeka kwa 20% na kufanya kuwa mkoa wa pili kitaifa katika maambukizi ukiongozwa na mkoa wa Tabora.

Kwa upande mwingine, Mbunge wa Jimbo la Newala Mjini ambae pia ni Waziri wa nchi Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi maalumu), Mhe. George Mkuchika ameshauri mkoa kuunda kamati maalumu itakayoweza kufanikisha Mkoa wa Mtwara kuwa na timu ya mpira wa miguu.

Nae, Mbunge wa Masasi mjini, Mhe. Geofrey Mwambe ameishauri mamlaka ya mapato (TRA) kushirikiana vema na wafanyabiashara na kuwashauri ili namna bora ya kukuza biashara badala ya kusuburi kukusanya kodi tu.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.