• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Kampeni ya shule ni choo yaanza kwa mafanikio

Posted on: October 13th, 2019

Kampeni ya SHULE NI CHOO MSITIRI MWANAFUNZI NA MWALIMU iliyoanzishwa na mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa imekusanya zaidi ya shilingi milioni 265. Kampeini hiyo ilitangzwa mapema Agosti mwaka huu na Mkuu wa Mkoa huo na kuzinduliwa leo na Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako.

Akitambulisha kampeni hiyo Byakanwa amesema Mkoa una upungufu wa matundu ya choo 6,674 ambayo gharama za ujenzi  zinafikia bilioni 6,674,000,000.

Byakanwa ambaye amekuwa akitambulisha kipaumbele chake cha kwanza kuwa ni elimu amesema Gharama hizo hazimtishi kwani wananchi anaoongoza wanaonesha mwitikio mzuri na wako tayarikushiriki kwa njia moja ama nyingine kupunguza gharama hizo.

Kwa upande wake Mgeni rasmi wa uzinduzi huo Mhe. Profesa joyce Ndalichako amepongeza hatua hiyo na kusema itasaidia kuongeza hamasa ya kusoma na kupunguza maradhi kwa wanafunzi na walimu. Amesema Wizara yake itachangia shilingi milioni mia moja na kumi.

Wachangiaji wengine waliojitokeza katika kampeni hiyo itakayodumu kwa kipindi cha mwaka mmoja ni pamoja na Wizara ya Afya, wafanyabiashara, vyama vya wafanyakazi na makampuni binafsi.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.