• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

KANALI SAWALA ALIPONGEZA JESHI LA POLISI TANZANIA

Posted on: June 6th, 2024


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Kenan Sawala amelimwagia sifa na Pongezi Jeshi la Polisi nchini kwa kuendelea kuimarisha hali ya usalama ya Mkoa huo na wananchi kuendelea kufanya shughuli zao katika hali ya usalama na amani.

Amesema vyombo vya ulinzi vimeendelea kuhakikisha Mtwara inakuwa salama na hata wananchi na makundi mengine mbalimbali wanakaribishwa kuja kuwekeza katika mkoa huu ambao ni rafiki kwa uwekezaji katika sekta mbalimbali.

Pia ametoa rai kwa wananchi kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi pamoja na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ili kudumisha amani iliyopo umoja na mashirikiano ambayo ni nyenzo thabiti ya maendeleo.

Aidha, Mkuu wa Mkoa Kanali Sawala amewataka askari Polisi kuendelea kuongeza tija na ufanisi katika utendaji kazi na kuwekeza zaidi kwenye falsafa ya Polisi jamii ambayo imesaidia kuimarisha ulinzi na usalama kupitia Wakaguzi Kata hivyo waendelee kuihamasisha jamii kushiriki kwenye vikundi mbalimbali vya ulinzi shirikishi vilivyopo kwenye maeneo yao.

Kanali Sawala pia ametoa wito kwa wananchi kushiriki ipasavyo kwenye chaguzi zinazokuja ikiwemo uchaguzi wa serikali za Mitaa pamoja na uchaguzi Mkuu.

Kanali Sawala ameyasema hayo wakati wa hafla za uvishaji wa nishani kwa maafisa, wakaguzi na askari zoezi ambalo limeongozwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP. Camillus Wambura zilizofanyika katika viwanja vya FFU Mtwara.

Juni 6, 2024.

#TunaifunguaMtwara

#KaziIendelee


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.