
Akizungumzia kuhusu maendeleo ya elimu Mkoani humu, Afisa Elimu wa Mkoa John Lupenza ametaja baadhi ya mafanikio yaliopatikana kuwa ni ufaulu wa wanafunzi ambao wanajiunga na shule za sekondari, kuongeza uwezo wa wanafunzi wa darasala la kusoma , kuandika na kuhesabu.

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara
Anuani ya Posta: 544, MTWARA
Simu: +255 23 2333014
Mobile: +255 23 2333014
Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz
Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.