• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MAADHIMISHO YA KILELE CHA JUMA LA ELIMU MTWARA YAFANA

Posted on: July 27th, 2024



Serikali imetoa shilingi Bilioni 114.5 ndani ya kipindi cha miaka mitatu kwa Mkoa wa Mtwara kwa ajili ya kuboresha sekta ya elimu Mkoani humo.



Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala amesema hayo leo katika kilelele cha kuadhimisha wiki ya Elimu Mkoani humo.

Kanali Sawala amesema kati ya fedha hizi, shilingi bilioni 76.6 zilitolewa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu na shilingi bilioni 37.9 kwa ajili ya kugharamia elimu ya msingi bila malipo.

Amesema kutokana na fedha hizo na mikakati ya Mkoa ya kuboresha Elimu ambayo iliwekwa na mkoa, mkoa huo umeweza kuboresha elimu na kuleta mafanikio kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo ufaulu kuongezeka.

"Moja ya mikakati ambayo iliwekwa na mkoa ni kuanzisha juma la elimu kwa lengo la kufanya tathmini ya maendeleo ya elimu katika mkoa, kutoa motisha kwa walimu, wanafunzi na Halmashauri pamoja na wadau wa elimu, amesema.


Akizungumzia kuhusu maendeleo ya elimu Mkoani humu, Afisa Elimu wa Mkoa John Lupenza ametaja baadhi ya mafanikio yaliopatikana kuwa ni ufaulu wa wanafunzi ambao wanajiunga na shule za sekondari, kuongeza uwezo wa wanafunzi wa darasala la kusoma , kuandika na kuhesabu.

Katika hafla ya kuhitimisha juma la elimu, serikali ya Mkoa ilitoa zawadi mbalimbali kama motisha kwa walimu, wanafunzi, Halmashauri na wadau ambao wamekuwa wakisaidia mkoa huo katika kuboresha mazingira ya elimu.



Hali kadhalika Kanali Sawala amemkabidhi tuzo ya Shukrani kwa Mdau wa Elimu na Mgeni Maalum Meja Jenerali Marko Elisha Gaguti kwa kutambua na kuthamini mchango wake katika kukuza sekta ya Elimu mkoani Mtwara.

Julai 27, 2024













Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.