• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Mbunge wa Mtwara Hawa Ghasia afunika mchezo wa kuogelea

Posted on: December 31st, 2018

Mbunge wa Mtwara Vijijini Mhe. Hawa Ghasia ameonesha uwezo mkubwa wa kuogelea wakati wa tamasha la “Msangamkuu Beach Festival “lililofanyika Disemba 30,2018.

Ghasia ambaye anadai ana uzoefu wa kuogelea maji ya bahari tangu akiwa mtoto aliuacha hoi umati huo kwa jinsi alivyokuwa akibadili mitindo mbalimbali ya kuogelea hali ambayo ilizifanya meli za uokoaji kumzunguka mara kwa mara ili kujiridhsiha iwapo hayuko matatizoni.

Akizungumzia tamasha hilo Mhe. Ghasia amepongeza hatua hiyo na kuwataka wanachi na wawekezaji wa nje na ndani ya mkoa kujitokeza kwa wingi kuwekeza katika wilaya ya Mtwara, ambayo ina fukwe nyingi za kuvutia.

Amezitaja fukwe hizo kuwa ni pamoja na Msimbati ambayo ameitaja kama fukwe pekee hapa nchini ambayo binadamu anaweza kuendesha gari kama anavyoendesha kwenye barabara ya lami, fukwe ya Mnazi ambayo ina urefu zaidi ya kilometa ishirini, fukwe ya Naumbu pamoja na ile ya Mgao.

Aidha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Evod Mmanda amewapongeza wanaMtwara waliojitokeza katika tamasha hilo. Anasema Msangamkuu ni eneo moja katika maeneo mengi yanayohitaji kutangazwa hivyo atahakikisha dunia inatambua hilo.

Tamasha la “MsangaMkuu Beach festival” limefanyika kwa mara ya kwanza katika fukwe hiyo Disemba 30,2018 huku mwanzilishi wa tamasha hilo Mhe. Gelasius Byakanwa, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara akiwaomba wadhamini kujitokeza kudhamini tamasha hilo ambalo anakusudia liwe endelevu. Amesema hiyo ni fursa muhimu kwa kutangaza vivutio vya utalii vya mkoa wa Mtwara.


Video yake hii HAPA


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.