• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Mhandishi Halmashauri ashikiliwa polisi

Posted on: July 20th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa akikagua nyaraka za ujenzi wa Hospitali ya halmashauri


Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa ameagiza jeshi la polisi kumshikiria mhandisi wa halmashauri ya wilaya ya Masasi Edward Msafiri kwa kushindwa kusimamia ipasavyo na kusababisha  dosari za ujenzi wa hospitali ya halmashauri ya wilaya hiyo na kituo cha afya cha kata ya Chiungutwa.

Ujenzi wa hospitali hiyo na kituo cha afya unaotumia fedha kutoka serikali kuu ulipaswa kukamilika Julai 30 mwaka huu lakini miradi yote miwili inatekelezwa kwa kusuasua.

Akiwa ameambatana na wataalamu wa Sekrtarieti ya Mkoa Mhe. Mkuu wa Mkoa alisikitishwa na mwennendo wa Ujenzi huo. Amesema hii ni mara ya pili anatembelea na kutoa maagizo ambayo alitegemea yangekuwa yametekelzwa.

AIdha amemuagiza Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi kuhakikisha wanamsimamia mjenzi huyo.

Kama nikirudi amra ya pili na kukuta shughuli bado inasuasua, nitapanda juu zaidi. (Akimaanisha kuwachukulia hatua wasimamizi wakuu)

 Hospitali ya wilaya ya Masasi ni kati ya hospitali mpya zinazojengwa halmashauri mbalimbali hapa nchini kwa kutumia fedha kutoka serikali kuu ikiwa ni mikakati ya serikali ya awamu ya tano kuboresha huduma za afya kwa kosogeza huduma hizo karibu na wananchi.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.