• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Mkapa Foundation wajenga nyumba 50 watumishi wa Afya Mtwara

Posted on: November 22nd, 2018

Nyumba za watumishii wa Zahanati ya Imekuwa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara zilizojengwa na Taasisi ya Benjamini Mkapa.

Taasisi ya Benjamini Mkapa imejenga jumla ya nyumba 50 za watumishi wa Afya mkoani Mtwara. nyumba hizo zimejengwa katika zahanati na vituo vya afya sehemu mbalimbali mkoani hapa huku zikigharimu taribani milioni 53 hadi 68 kila nyumba.

Akizungumza wakati wa ukaguzi wa nyumba hizo zilizojengwa kati ya mwaka 2011 na 2015 Mtendaji Mkuu wa Benjamini Mkapa Foundation Dkt. Ellen Mkondya Senkoro  amesema waliamua kufanya hivyo kutokana na mahitaji makubwa ya nchi na wamejenga jumla ya nyumba 480 nchi nzima.

Amesema ujenzi huo ulizingatia vituo ambavyo vilikuwa havifanyai kazi kutokana na changamoto ya nyumba za watumishi na hivyo kuwezesha kufanya kazi na kusaidia kwa kiasi kikubwa huduma kwa jamii.

Kwa upande wake Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Kawawa, Hadija Marekana pamoja Joseph Sheduo wa zahanati ya Imekuwa kwa nyakati tofauti wameshukuru taasisi hiyo kwa msaada huo na kwamba imesaidia kwa kiasi kikubwa kuondoa tatizo la huduma ya afya kwa jamii.

Wamesema kabla ya ujenzi wa nyumba katika zahanati hizo  walikuwa wakilazimika kusafiri kutoka vijiji jirani kwenye makazi yao jambo ambalo lilikuwa likikwamisha huduma za haraka hasa nyakati za usiku.

Kwa upande wake Fatuma Selemani wa kijiji cha Imekuwa anasema wamepata ahueni kubwa baada ya ujenzi wa nyumba hizo kwani hata usiku wa manane wanawaamusha waganga na kupata huduma.



Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.