• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MRADI WA GESI ASILIA MAJUMBANI WAZINDULIWA KWA AWAMU YA PILI MKOANI MTWARA

Posted on: August 25th, 2021

Kutokana na umuhimu na manufaa ya matumizi ya gesi asilia katika kukabiliana na uchafuzi wa mazingira, Waziri wa Nishati Dkt. Merdard Kalemani ameliagiza shirika la maendeleo ya Petrol nchini (TPDC) kuongeza kasi ya usambazaji wa nishati ya gesi majumbani ili kupunguza athari za kimazingira zinazotokana na matumizi mengine ya nishati.

Kalemani ametoa maagizo hayo leo mkoani Mtwara kwenye hafla ya uzinduzi wa awamu ya pili ya mradi wa usambazaji gesi asilia majumbani.

Amesema uhitaji wa gesi asilia ni mkubwa hivyo shirika linapaswa kuongeza kasi ya kusambaza nishati hiyo muhimu na salama.

Akizungumzia hatua ya uzinduzi wa awamu ya pili ya matumizi ya gesi asilia amesema serikali imetumia zaidi ya Milion 960 kujenga miundombinu ya gesi katika nyumba 300 zilizofikiwa na mradi .

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MKOA WA MTWARA UMEENDELEA KUNG’ARA USIMAMIZI WA ZAO LA KOROSHO; WATWAA TUZO

    August 22, 2025
  • MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI “KUWAPA SHULE”TPDC

    August 21, 2025
  • REA KUJA NA MRADI WA MAJIKO BANIFU MKOA WA MTWARA; KISIWA CHA NAMPONDA KUNUFAIKA NA UMEME WA MFUMO WA JUA

    August 20, 2025
  • UNDP YAKABIDHI KWA MAFANIKIO MRADI WA KILIMO CHA BUSTANI ULIOSAIDIA JAMII ZILIZOATHIRIKA NA MAFURIKO MTWARA

    August 14, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.