• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Mtwara itajengwa kwa ushirikiano -RC Byakanwa

Posted on: October 31st, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Glasius Gasper Byakanwa (Kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Evod mmanda mara baada ya kuwasili kwa mara ya kwanza katika Ofisi yake jana.

 

Mtwara itajengwa kwa ushirikiano -RC Byakanwa

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Gasper Byakanwa amewataka wananchi wa Mkoa wa Mtwara kutoa ushirikiano ili kufikia malengo katika kusukuma maendeleo ya mkoa. Amesema njia pekee ya kuweza kufikia malengo ya kutatua changamoto zinazowakabili wananchi wa Mkoa wa Mtwara ni ushirikiano kati ya viongozi na wananchi kwa ujumla. Hayo ameyasema leo mara baada ya kukabidhiwa ofisi na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Mheshimiwa Halima Dendego.

Mheshimiwa Byakanwa ambaye amehamishwa kutoka nafasi ya Mkuu wa Wilaya ya Hai amezitaja baadhi ya changamoto za mkoa wa Mtwara kuwa ni pamoja na elimu. Amesema haridhishwi na matokeo ya mitihani ya kitaifa kwa mkoa wa mtwara ukiwemo mtihani wa darasa la saba mwaka 2017 ambapo Mkoa wa Mtwara umeingia katika nafasi kumi za mwisho kitaifa

‘Mimi siku zote huwa napenda kuwa wa kwanza hivyo sikubali kushikilia nafasi za mwisho katika nafasi yoyote’. Amesema Byakanwa

Kuhusu kuinua zao la korosho ambalo ni moja ya mhimili wa uchumi wa mkoa wa Mtwara amesema ni moja ya vipaumbele vyake. Anasema korosho ni dhahabu ya kijani kwa wananchi wa Mkoa wa Mtwara, hivyo lazima ahakikishe inamkomboa Mkulima wa Mtwara.

Kwa upande wake aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Halima Dendego amesema anashukuru kwa hatua iliyofikiwa katika maendeleo ya mkoa wa Mtwara. pia amemshukuru Mheshimiwa Rais aliyemuamini kwa kipindi chote ambacho amekuwepo Mkoani Mtwara. amesema anauacha Mkoa wa Mtwara ukiwa salama pia ukijitosheleza kwa chakula. Amewaomba wanamtwara kutoa ushirikiano kwa Mheshimiwa Byakanwa ili Mtwara ing’ae zaidi.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • CSR YAIGUSA JESHI LA POLISI NA UHAMIAJI MTWARA

    April 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAWASHWA KIBAHA; KUKIMBIZWA MIKOA 31.

    April 02, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA MKONO WA EID NA PASAKA MTWARA

    March 31, 2025
  • RC SAWALA AMUAPISHA DC MASASI; AMPA MAELEKEZO

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.