• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Mtwara kuandaa Mwongozo wa Uwekezaji

Posted on: April 10th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa akifungua kikao cha Mwongozo wa uwekezaji leo Februali 10, 2019


Mkoa wa Mtwara unajipanga kuhakikisha unaandaa mwongozo wa uwekezaji ambao utawezesha kutangazwa kwa fursa zote za uwekezaji ndani ya Mkoa. Katika kikao kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Boma Mkoa ulioko Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wajumbe kwa pamoja wameridhia mpango huo ulenge kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji huku dunia nzima ikijulishwa jinsi gani wanaweza kunufaika na mazingira hayo.

Awali akifungua kikao hicho Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa amesema Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) wameridhia kufadhili uandaaji wa mpango huo ambapo Taasisi ya ESRF imepewa kazi hiyo. Amesema ili kuhakikisha lengo la mkoa linafikiwa ni lazima wadau wote kujiandaa ili kutoa ushirikiano kwa waandaaji.

Wakichangia mawazo wajumbe wa kikao hicho waesema Mkoa unazo fursa nyingi zinazoweza kusaidia katika kuhamasisha uwekezaji. fursa hizo ni pamoja na miundombinu ya usafiri ikiwemo barabara, uwanja wa Ndege, bandari pamoja na ardhi nzuri yenye rutuba.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.