• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MTWARA KUBORESHA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA 28 JANUARI-03 FEBRUARI 2025; MAHABUSU NA WAFUNGWA KUANDIKISHWA

Posted on: January 16th, 2025

Tume huru ya taifa ya Uchaguzi imetangaza kuwa tarehe 28 Januari hadi 03 Februari 2025 zoezi la Uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura litaanza katika Mkoa wa Mtwara kwa awamu ya kwanza.

Akizungumza wakati wa mkutano wa tume na wadau wa uchaguzi uliofanyika mapema leo tarehe 16 Januari 2025, Mwenyekiti wa Tume hiyo Mhe. Jaji (R) Jacobs Mwambegele alieleza kuwa Tume katika kuhakikisha kwamba inaenda sambamba na mabadiliko ya teknolojia ikiwa ni pamoja na kurahisisha zoezi la uboreshaji wa Daftari, imeboresha mfumo wa uandikishaji ambao kwa mara ya kwanza utamuwezesha mpiga kura aliyepo kwenye Daftari kuanzisha mchakato wa kuboresha taarifa zake au kuhama kituo kwa kutumia aina yoyote ya simu ya kiganjani au kompyuta.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Tume huru ya taifa ya Uchaguzi, Ndg. Ramadhan Kailima alieleza kuwa zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura litahusu kuandikisha wapiga kura wapya, kutoa kadi mpya kwa waliopoteza au kadi kuharibika, kurekebisha taarifa mfano majina, kuhamisha taarifa kwa waliohama maeneo pamoja na kuondoa wapiga kura waliopoteza sifa za kuwemo kwenye daftari kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kuukana uraia wa Tanzania na kifo.

“Wale wenye kadi za mpiga kura zilizotolewa mwaka 2015 na 2020 iwapo hawana taarifa iliyobadilika basi uboreshaji huu hauwahusu. Lakini kwa wale waliopata kadi kabla ya mwaka 2015 hata kama hakuna taarifa iliyobadikika, watalazimika kujiandikisha upya kwenye daftari la wapiga kura.” Alieleza Ndg. Kailima

Katika hatua nyingine, Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi imeweka wazi kuwa Wafungwa wa magereza waliohukumiwa kifungo cha chini ya miezi sita na mahabusu kwa mujibu wa kanuni ya 15(2)(c) ya Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura za mwaka 2024 wana haki ya kuandikishwa kuwa wapiga kura.

Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura ni kwaajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 kuwachagua Madiwani, Wabunge na Rais. “Kujiandikisha kuwa mpiga kura ni msingi wa uchaguzi bora.”

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.