• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MTWARA KUTENGA ZAIDI YA BILIONI 2.96 KUKOPESHA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU MWAKA 2025/26

Posted on: March 7th, 2025

Miongoni mwa fedha zinazokadiriwa kukusanywa kwa mwaka 2025/26 kiasi cha Shilingi Bilioni 29.61 kutoka mapato yasiyolindwa, Halmashauri za mkoa wa Mtwara inatarajia kutumia zaidi ya Shilingi Bilioni 11 kutekeleza miradi ya maendeleo ambapo Shilingi Bilioni 2.96 zitatumika kwaajili ya mikopo ya 10% kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Bw. Abdilah L. Mfinanga, Katibu Tawala Msaidizi Mipango na Uratibu akiwasilisha taarifa ya mapitio bajeti ya nusu mwaka wa fedha 2024/25 na makadirio ya mipango ya bajeti kwa mwaka fedha 2025/26 katika kikao maalum cha Kamati ya Ushauri ya mkoa (RCC) kilichoongozwa na Mhe. Kanali Patrick Sawala ambae pia ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara mapema leo tarehe 07 Machi 2025 alieleza kuwa mkoa wa Mtwara unatarajia kukusanya na kutumia Shilingi Bilioni 290.29.

“Niwapongeze Wakurugenzi wa Halmashauri zote na watumishi kwa ufuatiliaji mzuri kuhakikisha mapato yanakusanywa. Mpaka mwezi Februari 2025 makusanyo yamefikia 108% ni matumaini yangu mpaka tukimaliza mwaka wa fedha mwezi Juni tutazidi kufanya vizuri.” Alieleza Kanali Sawala

Katika hatua nyingine Kanali Sawala amezitaka kila Halmashauri zitenge fedha za ununuzi wa madawati, viti, meza na vifaa tiba huku akisisitiza matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Mpango na bajeti ya mwaka 2025/26, umeandaliwa kwa kuzingatia Sheria ya Bajeti Na.11 ya mwaka 2015 ambapo Wizara, Mikoa, Halmashauri na Taasisi nyingine za Serikali zinapaswa kuandaa mipango na bajeti ili ipitishwe na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • CSR YAIGUSA JESHI LA POLISI NA UHAMIAJI MTWARA

    April 04, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WAWASHWA KIBAHA; KUKIMBIZWA MIKOA 31.

    April 02, 2025
  • RAIS SAMIA ATOA MKONO WA EID NA PASAKA MTWARA

    March 31, 2025
  • RC SAWALA AMUAPISHA DC MASASI; AMPA MAELEKEZO

    March 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.