• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Mtwara Mikindani watakiwa kutenga viwanja vya ujenzi Viwanda

Posted on: December 21st, 2017

Sijawa Omary, Mtwara

MKUU wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa ametoa wiki tatu kwa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani hapa kuhakikisha wanatenga viwanja maalumu kwa ajili ya ujenzi wa viwanda hasa nchi inapoelekea katika uchumi wa viwanda.

Mhe. Byakanwa amebainisha hayo wakati wa kikoa na madiwani pamoja na watumishi wa halmashauri hiyo kilichofanyika kwenye halmashauri hiyo.

Alisema kuwa, viwanja vyote vilivyopo kwenye halmashauri hiyo ambavyo vimetelekezwa na wamiliki kwa muda mrefu bila kufanyiwa mazingira ya usafi au huduma yeyote vichukuliwe kutokana na wamiliki wake kushindwa kumiliki rasilimali hiyo.

“Viwanja vingapi kama halmashauri mumetenga kwa ajili ya ujenzi wa viwanda? Nashangaa kuona tunaelekea katika uchumi wa viwanda na hakuna viwanja vya kutosha ambayo vimetengwa maalumu kwa ajili hiyo”, Alisema Byakanwa

Panapotekea fursa hizo ni vema kufanya maandalizi mapema ili kuondokana na usumbufu unaoweza kujitokeza hapo baadae katika rasilimali hiyo.

Sanjali na hilo mkuu huyo amezitaka halmashauri zote mkoani hapa kuhakikisha zinasimamia ipasavyo pesa zote za miradi ya maendeleo ili kufikia malengo yanayokusudiwa katika mkoa huo.

“Nataka kuona halmashauri zote zinasimamia vema miradi yote ya maendeleo kwenye halmashauri zetu kikubwa tuweze kufikia lengo tunalokusudia”,Alisema Byakanwa

Kaimu Mkurugenzi katika halmashauri hiyo, Tamko Ally alisema yale yote yaliyoangizwa na Mkuu huyo kama halmashauri yatafanyiwa kazi kwa vitendo ili kufikia malengo husika.

Katika swala la kutenga na kuangalia viwanja ambavyo wamiliki wameshindwa kuvihudumia pia litafanyiwa kazi kwa umakini wake hasa nchi inapoelekea katika uchumi huo wa viwanda.

Mwisho.

Cpn 1 na 2: Pichani ni mkuu wa mkoa wa mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa hivi karibuni akizungumza na watumishi pamoja na madiwani katika halmashauri ya manispaa ya mtwara mikindani mkaoni hapa katika viwanja vya halmashauri hiyo.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.