• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

MTWARA YANG’ARA TAMASHA LA TATU LA UTAMADUNI LA KITAIFA MKOANI RUVUMA, YAPATA TUZO NA SHILINGI MILIONI MOJA.

Posted on: September 23rd, 2024

Mtwara Yang’ara Tamasha la Tatu la Utamaduni la Kitaifa Mkoani Ruvuma, Yapata Tuzo na Shilingi Milioni Moja.

Tamasha la Tatu la Utamaduni la Kitaifa lililotamatika Septemba 23,2024 limeinga’arisha nyota ya Mkoa wa Mtwara ambapo Mkoa wa Mtwara umeibuka mshindi wa kwanza katika tasnia ya ngoma za asili kupitia kazi nzuri ya kikundi cha Sanaa cha Mundu.

Katika hotuba yake wakati wa kukabidhi tuzo hiyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amesema tamasha hilo ni kielelezo cha namna serikali inavyothamini tamaduni zake na kwamba itaendelea kuzienzi na kuzilinda.

Katika shamrashamra za kupokea tuzo hiyo Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara ambaye pia alikuwa kiongozi wa msafara amekipongeaza kikundi cha Mundu kwa kuuwakilisha vema Mkoa katika tamasha hilo na kuahidi kuwa Mkoa utaendelea kuweka mikakati mbalimbali ya kukuza utamaduni ikiwemo kuviwezesha na kuviendeleza vikundi mbalimbali vya Sanaa na utamaduni.

Kwa upande wake mwakilishi wa mkoa ambaye alikabidhiwa tuzo hiyo na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan Bi Fatuma Mtanda amemshukuru Rais kwa jitihada zake za kuisimamia tasnia ya Sanaa na utamaduni huku akiahidi kuwa kitengo cha Sanaa chini ya idara ya elimu Mkoa kimejipanga kufanya mapinduzi makubwa katika kukuza na kuendeleza utamaduni ikiwemo ngoma za asili.

Naye kiongozi wa kikundi cha Mundu Bw. Said Sandali Chande ameushukuru uongozi wa Mkoa kwa kukilea vizuri kikundi hicho na kusema kuwa tuzo hiyo imeujengea heshima mkoa halikadhalika imewaongezea morali wanakikundi ambao kwa sasa waamini hakuna linaloshindikana.

Katika Tamasha hilo Mkoa wa Mtwara umekabidhiwa tuzo ya mshindi wa kwanza katika ngoma asili pamoja pesa taslimu shilingi 1,000, 000/=

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.