• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC GAGUTI AKABIDHI MWENGE WA UHURU MKOA WA RUVUMA

Posted on: September 2nd, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brig. Jenerali Marco E. Gaguti amekabidhi Mwenge wa Uhuru leo kwa RC wa Mkoa wa Ruvuma Brig.Jener. Wilbert Augustine Ibuge kwenye kijiji cha Sautimoja kata ya Namakambale, Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma

Akizunguma wakati wa makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru, RC Gaguti amesema kuwa Mwenge huo maalumu wa Uhuru unaokimbizwa na vijana 6 wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), umepita Mkoani Mtwara na kutembelea, kukagua, kuzindua na kuweka mawe ya Msingi kwenye miradi 42 yenye thamani zaidi ya sh. bilioni 11 mkoani humo.

Aidha, Gaguti  amesema kuwa wakati wa mbio hizo jumla ya Wananchi 492 walipima Malaria wanaume 338 na wanawake 492 na  waliogundulika kuwa na Malaria ni 40, Wananchi 1619 walijitokeza kupima VVU wanaume wakiwa 920 na wanawake 699 na kati yao 7 walibainika kukutwa na  virusi 4 wakiwa wanawake na  3 wanaume , Pia uchangiaji wa damu ulifanyika na jumla ya vyupa 96 za damu zilipatikana.

Mhe. Gaguti amesema kuwa Mwenge wa Uhuru ukiwa mkoani humo, viongozi walihamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kwenda kupata chanjo kwa ajili ya kujikinga na janga la Corona.

Amewapongeza wakimbiza Mwenge wa Uhuru Kitaifa wakiongozwa na Josephine Mwampashi kwa kazi kubwa waliyoifanya wakiwa mkoani humo na kuahidi kuzifanyia kazi kasoro chache zilizojitokeza katika miradi miwili (2) na  kuhaidi kuzirekebisha.

RC Gaguti amewashukuru wakimbiza Mwenge wa Mkoa huo pamoja na viongozi na wananchi kwa kushiriki vyema wakati wa mbio hizo za Mwenge na kumaliza salama.

Kwa upande wake Kiongozi wa wakimbiza Mwenge wa Uhuru Josephine Mwampashi ameshukuru kwa ushirikiano walioupata wakiwa Mkoani humo na kusema kuwa Mwenge wa uhuru ulipita kwenye miradi mbalimbali katika kuleta chachu ya maendeleo na kusisitiza kuwa watekelezaji wa miradi wakasimamie kizalendo ili kuleta maendeleo katika Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Pichani; Kiongozi wa mbio Maalum za Mwenge 

wa Uhuru Josephine Mwampashi wakati akiuaga 

Mkoa wa Mtwara Kuelekea Mkoani Ruvuma.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.