• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Naibu Waziri awatoa mashaka wawekezaji wa Korosho

Posted on: July 12th, 2019

Naibu waziri wa Kilimo Mhe. Omari Mgumba amewatoa mashaka wawekezaji katika sekta ya korosho hapa nchini kwamba Tanzania imeandaa mazingira mazuri ya uwekezaji katika uanzishaji na uendelezaji wa viwanda hususani zao la korosho.

Akizungumza leo katika kongamano la kimataifa la uwekezaji katika sekta ya korosho lililofanyika ukumbi wa Benki Kuu tawi la Mtwara amesema vipo viwanda zaidi ya kumi ambavyo vimekuwepo tangu serikali ya awamu ya kwanza ambavyo teknolojia yake imepitwa na wakati na vingine havifanyi kazi kabisa.

“Nakumbuka mwalimu Nyerere mwaka 1978 hadi mwaka 1980 alijenga viwanda zaidi ya 12 ambavyo kwa sasa teknolojia yake imepitwa na wakati. Baadhi vimekufa na vilivyobaki vimepunguza uzalishaji. Ndiyo maana tumaeamua kuwaita wawekezaji ili kuviendeleza na kuanzisha vingine ili kuongeza uzalishaji”

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Geofrey Mwambe amesema wameamua kuandaa kongamoano hilo ili kushawishi wawekezaji wazawa na wageni kutoka mataifa mbalimbali duniani ili wawekeze katika viwanda vya kubangua korosho katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Pwani kwa maslahi ya wananchi na Taifa kwa ujumla.

“Tulitarajia kupata wageni mia moja mpaka mia moja hamsini lakini tumepata wawekezaji zaidi ya mia tatu. Kwa idadi hii tumevuka lengo la kongamano letu na tunaimani watakuwa tayari kuwekeza kwenye viwanda vikiwemo viwanda vya korosho. Nashukuru Wakuu wa Mikoa walioshiriki wote wametenga maeneo ya uwekezaji jambo ambalo linarahisisha KAZI”.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA "ACHENI KUFANYA KAZI KWA MAZOEA"

    June 21, 2025
  • MTWARA MWENYEJI WA MAFUNZO YA KOROSHO BARA LA AFRIKA.

    June 23, 2025
  • NHIF YAFANYA MAZUMGUMZO NA RC SAWALA

    June 23, 2025
  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA

    June 24, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.