• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Nanenane kitaifa Ngongo, maandalizi motomoto

Posted on: June 2nd, 2017

Wajumbe wa Maandalizi ya Maonesho ya Nanenae Kitaifa 2017 wakifuatilia mijadala wakati wa kikao kilichofanyika Ukumbi wa Naliendele uliko katika uwanja wa Ngongo Lindi


Mikoa ya Mtwara na Lindi imeendelea na maandalizi ya maonesho ya wakulima maarufu kama Nanenane yanayotarajiwa kufanyika Kitaifa katika viwanja vya Ngongo vilivyoko Lindi Agost 2017. Akizungumza baada ya kikao cha maandalizi kilichofanyika jana katika ukumbi wa Naliendele ulioko uwanjani hapo, Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Godfrey Zambi amesema taratibu zote za maandalizi zinaenda vizuri.

Wajumbe kutoka mikoa yote miwili wanaonesha moyo  hali ambayo inaashiria uwezekano wa maonesho ya mwaka huu kuwa mazuri kuliko yote yaliyowahi kufanyika.

Mheshimiwa Zambi amesema miezi kadhaa nyuma eneo la viwanja hivyo lilikuwa katika hali isiyoridhisha lakini sasa hali ni nzuri na kila kukicha mabadiliko zaidi yanaendelea kuonekana.

Mwandishi wetu ameshuhudua Wakuu wa Wilaya na Wakutrugenzi wa halmashauri za wilaya mbalimbali katika mikoa hii miwili wakikagua maeneo ya halmashauri zao hali ambayo inaashiria uwezekano wa mambo kuwa mazuri zaidi kwa wakati.

Mikoa ya Mtwara na Lindi itakuwa ikiandaa kwa mara ya nne mfululizo maonesho haya katika ngazi ya kitaifa. Aidha katika maonesho ya mwaka jana Mgeni rasmi katika ufungaji wa maoenesho hayo alikuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.


video ya tukio hilo hii HAPA

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.