• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Panya choma ‘festival’ yaja Mtwara.

Posted on: July 6th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa akizungumza kupitia matangazo ya moja kwa moja yaliyokuwa yakirushwa na Radio Safari kutokea ofisini kwake 


Umaarufu wa mkoa wa Mtwara katika kula nyama ya panya ni fursa mojawapo ya kuvutia utalii mkoani hapa.  Hilo litawezekana iwapo jamii ya watu wanaotumia chakula hicho watawekewa mazingira mazuri ya kujitangaza na kukitangaza chakula hicho kupitia matukio mbalimbali ikiwemo ‘Panya festival’ au panya Choma.

Akizungumza katika kipindi cha safiri nasi kilichokuwa kikirushwa moja kwa moja kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara leo, Mhe. Gelasius Byakanwa amesema hilo ni mojawapo ya malengo yake kuhakikisha fursa mbalimbali za mkoa wa Mtwara ikiwemo ulaji wa nyama ya panya unatumika kama kivutio. Aidha katika ratiba yake amepanga kabla ya mwezi wa saba mwaka huu kuandaa tukio ambalo na yeye atashiriki kula nyama hiyo. 

Anasema fursa hiyo inaweza kuwavuta watu wengi kutoka ndani na nje ya nchi na kuufanya mkoa wa Mtwara kujulikana zaidi. Aidha itatoa fursa ya kufanya maboresho katika chakula hicho katika mtindo bora na wa kisasa zaidi.

“Kwa nini tusitangaze, isiwe rasmi kwamba panya ni chakula, tukawakaribisha mikoa mingine kwamba njooni Mtwara tule panya. Lakini kama sisi wenyewe tukikitambua na kukihalalisha kuwa hiki ni chakula bila kuitenga ile jamii… so long as hakina madhara kwa afya ya mtu, na pengine imani yako haizuii, mimi sioni sababu kwa nini tusikichukuwe na chenyewe kikawa kivutio”. Amesema Mhe.Byakanwa.

Mhe. Byakanwa ambaye ni Mwenyeji wa Mkoa wa Kagera ametolea mfano mkoa huo kwamba ni maarufu kwa ulaji wa Senene na kwamba chakula hicho sasa kimevuka mipaka kutoka Bukoba hadi nje ya nchi.

“Kule Bukoba tunakula senene, mwanzoni senene walionekana wanaliwa Bukoba tu lakini sasa kila sehemu wanakula, mpaka wengine wanakuwa exported nje ya nchi. Kwa nini panya nao wasiwe hivyo? 

Bonyeza HAPA kusikiliza Video.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.