• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC aagiza walimu kuingia mikataba ya utunzaji wa nyumba

Posted on: March 18th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa akionesha moja ya nyumba ya Mwalim ambayo marekebisho ya nyavu za madirisha hazijafanyika jambo ambalo lilimsikitisha na kuwataka walimu kuzijali na kuzitunza nyumba hizo.


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa ameagiza walimu wote mkoani Mtwara waliopewa nyumba za kuishi kuingia mikataba na Halmashauri kwa ajili ya utunzaji wa nyumba hizo.

Agizo hilo amelitoa jana wakati akikagua nyumba za walimu wa shule ya msingi Lulindi 1 iliyoko kijiji cha Muungano kata ya Lulindi Wilayani Masasi mara baada ya uzinduzi wa zoezi la upandaji miti kimkoa lililofanyika kijijini hapo.

Mheshimiwa Byakanwa amesema hatavumilia mwalimu anayepewa nyumba bure kushindwa kuitunza. Anasema ni bora nyumba hiyo akapewa mwalimu mwingine mwenye moyo wa kuitunza kuliko Mwalimu anayesubiri serikali imfanyie kila kitu.

Amesisitiza kuwa serikali imeonesha kujali ndiyo maana imewajengea nyumba na kuwapa waishi bure hivyo haipendezi mwalimu anayeishi katika nyumba hiyo kuendelea kusubiri serikali irekebishe mambo madogomadogo ikiwemo nyavu za madirisha zilizochoka.

Licha ya agizo hilo Mheshimiwa Byakanwa ameahidi kuchangia bati za vyumba vitatu vya madarasa kwa sharti la kuwataka wanakijiji kuhakikisha wanajenga boma. Pia ameitaka serikali ya kijiji hicho kuandaa tofari za kutosha nyumba mbili za walimu ambapo amemutaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Juma Satma kuchangia ujenzi wa nyumba hizo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Juma Satma  amesema agizo hilo wamelipokea na kwamba wako tayari kulifanyia utekelezaji.

Awali akiwasilisha kero ya shule hiyo Rajab Abdelimali Soni, mkazi wa kijiji hicho alimuomba Mkuu wa Mkoa kutembelea shule hiyo kutokana na changamoto ya miundombinu ya shule hiyo.

Amesema shule hiyo ni kongwe lakini bado inatatizo la miundombinu ya nyumba za walimu pamoja na vyumba vya madarasa jambo ambalo limekuwa likisababisjha walimu kuishi mbali na mazingira ya shule na hivyo kuathili utendaji kazi.


Kutazama Video yake Bonyeza HAPA



Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.