• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC atoa Msaada wa Krismas

Posted on: December 23rd, 2017

Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa, Norbert Shee (kushoto) akikabidhi Msaada wa chakula kwa Mratibu wa Sant Egidio Felician Ponsian


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa ametoa Msaada wa chakula cha Krismas kwa wananchi wenye Mahitaji maalumu mkoani Hapa.

Akikabidhi chakula hicho kwa Jumuia ya SANT EGIDIO iliyoandaa tukio la chakula hicho, Mhasibu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara Norbert Shee ambaye alikuwa akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa amesema Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ameguswa na tukio hilo, hivyo ameamua kutoa mafuta ya Kula, Maharage, Mchele na nyama vyote vikiwa na thamani ya shilingi laki tano.

Amesema wenye kuhitaji msaada ni wengi hivyo kunahitajika jitihada za pamoja kwa wadau mbalimbali ili kuwafikia wana jamii wote na kwamba Mkuu wa Mkoa alitamani kujumuika pamoja nao lakini kutokana na kuwa nje ya Mkoa kikazi hakuweza kufanya hivyo.

‘Naamini roho ya upendo ndiyo iliyowasukuma Jumuia ya Sant Egidio kuandaa tukio hili. Ni vema jamii zingine nazo zikaiga jambo hili kwani ni jema na linapendeza mbele za Mungu’.

Akipokea msaada huo uliotolewa katika ukumbi wa Kanisa katoliki Mtwara, Mratibu wa Sant Egidio Mkoani Mtwara, Felician Ponsian kwa niaba ya Taasisi nzima ametoa shuklani kwa msaada huo na kwamba ni ishara kuwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Mkoa mwenyewe wako pamoja na wenye mahitaji maalumu. amesema taasisi hiyo imekuwa ikifanya hivyo kutokana na kutambua uwepo wa mahitaji makubwa ya jamii na hivyo wao wameamua kuchukua jukumu hilo kuwaleta pamoja katika furaha.

Kwa upande wake Naomi saidi Mkazi wa Miembeni Mjini Mtwara ambaye ni mmoja wa washiriki wa chakula hicho amesema anashukuru wanapoona viongozi wao wakiwa karibu nao. Amewata waendelee na moyo huohuo.


Video yake Hii HAPA

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • KUFANYA MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19 August 30, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MKOA WA MTWARA WASHEHEREKEA SIKU YA KUZALIWA KWA MAMA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KWA KUGAWA TAULO ZA KIKE 1500 KWA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI.

    January 27, 2023
  • SEKTA YA VIWANDA ZINGATIENI SHERIA- WAZIRI WA BIASHARA, VIWANDA NA UWEKEZAJI_DKT: ASHATU KIJAJI

    January 07, 2023
  • KANZIDATA YA WAKULIMA WA KOROSHO KUONGEZA TIJA.

    January 04, 2023
  • NANYAMBA YAPATA UHAKIKA WA ELIMU KWA WATOTO WA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2023.

    December 30, 2022
  • Tazama Zote

Video

Wakulima Mtwara wachangamkia kilimo cha Ufuta
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • NBS
  • IKULU
  • UTUMISHI
  • SALARY SLIP
  • e-GA

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.