• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC atoa Msaada wa Krismas

Posted on: December 23rd, 2017

Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa, Norbert Shee (kushoto) akikabidhi Msaada wa chakula kwa Mratibu wa Sant Egidio Felician Ponsian


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa ametoa Msaada wa chakula cha Krismas kwa wananchi wenye Mahitaji maalumu mkoani Hapa.

Akikabidhi chakula hicho kwa Jumuia ya SANT EGIDIO iliyoandaa tukio la chakula hicho, Mhasibu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara Norbert Shee ambaye alikuwa akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa amesema Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa ameguswa na tukio hilo, hivyo ameamua kutoa mafuta ya Kula, Maharage, Mchele na nyama vyote vikiwa na thamani ya shilingi laki tano.

Amesema wenye kuhitaji msaada ni wengi hivyo kunahitajika jitihada za pamoja kwa wadau mbalimbali ili kuwafikia wana jamii wote na kwamba Mkuu wa Mkoa alitamani kujumuika pamoja nao lakini kutokana na kuwa nje ya Mkoa kikazi hakuweza kufanya hivyo.

‘Naamini roho ya upendo ndiyo iliyowasukuma Jumuia ya Sant Egidio kuandaa tukio hili. Ni vema jamii zingine nazo zikaiga jambo hili kwani ni jema na linapendeza mbele za Mungu’.

Akipokea msaada huo uliotolewa katika ukumbi wa Kanisa katoliki Mtwara, Mratibu wa Sant Egidio Mkoani Mtwara, Felician Ponsian kwa niaba ya Taasisi nzima ametoa shuklani kwa msaada huo na kwamba ni ishara kuwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Mkoa mwenyewe wako pamoja na wenye mahitaji maalumu. amesema taasisi hiyo imekuwa ikifanya hivyo kutokana na kutambua uwepo wa mahitaji makubwa ya jamii na hivyo wao wameamua kuchukua jukumu hilo kuwaleta pamoja katika furaha.

Kwa upande wake Naomi saidi Mkazi wa Miembeni Mjini Mtwara ambaye ni mmoja wa washiriki wa chakula hicho amesema anashukuru wanapoona viongozi wao wakiwa karibu nao. Amewata waendelee na moyo huohuo.


Video yake Hii HAPA

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.