• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC Mtwara Aagiza kusimamishwa kwa Mkuu wa Idara ya Ardhi

Posted on: August 14th, 2017

RC Mtwara akizungumza wakati wa kikao cha Baraza Maalum la Madiwani la kujibu hoja za Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali (CAG)


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Halima Dendego amemuagiza Mkurugenzi wa Halmshauri ya Wilaya ya Mtwara Omari Kipanga kumsimaisha kazi Mkuu wa Idara ya Ardhi Katika halmshauri hiyo, Denis Kitali kutokana na kukiuka makubaliano ya idara ya ardhi na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa juu ya namna bora ya uendelezaji wa eneo la viwanjwa Msijute kilipo kiwanda cha Saruji cha Dangote.

Akitangaza uamuzi huo katika kikao cha Baraza Maalum la Madiwani la kujibu hoja za Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali (CAG), mkuu huyo amesema licha ya kusimamishwa kazi, hatua nyingine za kisheria zitafuata dhidi yake.

Mheshimiwa Dendego amesema mpango wa kupima eneo hilo kwa ajili ya viwanda ulifikiwa kwa makubaliano kati ya Ofisi yake na Halmshauri hiyo ambapo mkuu huyo alishiriki kikamilifu tangu mwanzo.

Amesema kilichomshangaza ni Mkuu huyo kuwaeleza madiwani kuwa vipo viwanja 380 ambavyo Halmashauri inampango wa kuviuza ili kuongeza mapato ya halmashauri. Amesema hilo ni suala lisilokubalika na amekuwa akiwasiliana naye kwa maneno na kwa maandishi zaidi ya mara tano akimuelekeza juu ya mpango mzuri wa uendelezaji wa eneo hilo.

Aidha, Mhe. Dendego ameendelea kusisitiza kuwa kama yupo kiongozi yeyote aliyekwisha chukua fedha azirudishe kwani msimamo wake ni huo huo na hautabadilika. Amesema lengo lake ni kuwa na mji wa kisasa wa Mtwara. wenye viwanda vinavyokwenda na mahitaji ya kisasa.

Nao baadhi ya madiwani wa halmashauri hiyo, akiwamo Maupa Abdul na Ramadhan Mfaume wameelekeza lawama zao kwa idara ya ardhi ya halmashauri hiyo kwa kutotimiza wajibu wao kikamilifu

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.