• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC Mtwara aagiza ujenzi wa barabara kurudiwa

Posted on: July 16th, 2019

Wajumbe wa kikao cha Bodi ya Barabara wakifuatilia mijadala

Tume iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa imebaini mapungufu katika ubora wa barabara zilizojengwa na Wakala wa Barabara Vijijini na mijini (Tarura) katika halmashauri ya wilaya  ya Masasi na Manispaa ya Mtwara Mikindani. Tume hiyo aliiunda mapema mwaka huu baada ya kutilia mashakaubora wa baadhi ya barabara katika halmashauri ya manispaa ya Mtwara mikindani. Kufuatia mapungufu hayo Mheshimiwa Byakanwa ameagiza ujenzi huo urudiwe.

Aidha ameagiza Mameneja wa Tarura Katika halmashauri zote kupitia upya orodha ya wakandarasi walioko katika maeneo yao ili kubaini viwango vya utendaji kazi wao.

Byakanwa ameyasema hayo leo katika kikao cha Bodi ya barabara kilichofanyika ukumbi wa Boma mkoa. Amesema halmashauri ambayo ujenzi wake umekuwa na ubora zaidi ni halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu.

“Tunawajibu wa kuhakikisha fedha za serikali zinafanya kama ilivyokusudiwa. Kama kandarasi hafanyi kazi sawaswa hakuna haja ya kuendelea naye”. Amesema Byakanwa.

Katika kikao hicho kilichohudhuriwa na wajumbe mbalimbali akiwemo Mheshimiwa George Mkuchika ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora na Mbunge wa Newala Mjini kimeshauri serikali ijenge daraja katika kijiji cha Kilambo. Kwa sasa eneo hilo hilo linalopakana na Msumbiji likitenganishwa na mto Ruvuma linapitika kupitia kivuko cha MV kilambo.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.