• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

RC Mtwara kuanza ziara Wilayani.

Posted on: July 9th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Halima Dendego akishiriki ujenzi wa Maabara Wilayani Tandahimba wakati wa ziara yake ya Ukaguzi wa Maabara  Februari 2015.


Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Halima Dendego anatarajia kufanya ziara ya kikazi katika Halmashauri. Katika ziara hiyo itakayoanza Julai 10  hadi Juni 14 kwa siku Nne kila Wilaya, Mheshimiwa Dendego atatemblea halmashauri zote za Mkoa huu.

Taarifa iliyotolewa jana na Afisa Habari wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara, Evaristy Masuha kwa Vyombo vya Habari,  Mheshimiwa Dendego ataaanzia Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu kwa siku Nne  kuanzia Julai 10 hadi Juali 14. Julai 15 hadi Julai 19 Mheshimiwa Dendego atakuwa Wilaya ya Masasi kabla ya kurudi ofisini kwa siku 5 ili kujiandaa na ziara ya kuelekea Newala.

Pamoja na kuona, kukagua, kuweka mawe ya Msingi, kufanya mikutano ya Hadhara na kupima kwa ujumla utekelezaji wa ilani ya chama Tawala, Mheshimiwa Dendego ataungana na wakurugenzi hao kwa kuchangia vifaa katika baadhi ya hatua za maendeleo zilizoanzwa na wakurugenzi.

Mheshimiwa Dendego ambaye amekuwepo Hapa mkoani kwa Miaka 3 sasa ataambatana na baadhi ya Wakuu wa Idara wa Ofisi yake.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.