• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

SHAGWE ZA MSANGAMKUU FESTIVAL ZAANZA RASMI MTWARA

Posted on: December 28th, 2024

Tamasha kubwa la Msangamkuu linalofanyika kila mwisho wa mwaka katika fukwe za Msangamkuu, halmashauri ya wiłaya ya Mtwara zimeanza rasmi zikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe.Abdallah Mwaipaya.

DC Mwapaya ameongoza shamrashamra hizo leo tarehe 28 Desemba 2024 akishiriki katika matembezi (Jogging) yaliyohusisha vikundi na watu mbalimbali kutoka Mtwara na maeneo ya jirani.

Akizungumza mara baada ya kukamilika kwa zoezi hilo, Mkuu huyo wa Wilaya amewasisitiza wananchi kutoka Mtwara na maeneo mengine nchini kuendelea kutembelea fukwe za Msangamkuu kwa ajili ya burudani mbalimbali na kupumzika katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.

“Hili ni tamasha kubwa ambalo linalenga kuutangaza mkoa wetu pamoja na vivutio mbalimbali vya utalii vilivyopo hususan utalii wa fukwe, niwakaribishe wananchi wote wanaoishi Mtwara na wageni mbalimbali waliikuja Mtwara wafike na kushuhudia mambo mbalimbali” amesema Mhe. Mwaipaya.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa tamasha la Msangamkuu 2024 ambalo inafanyika kwa mara ya nne Ndugu Othmani Kambi, amesema tamasha hilo limeendelea kukua na lengo ni kulifanya kuwa kubwa na la kimataifa.

“Tunatarajia kuliona tamasha hilo likiwa kubwa zaidi, ukiangalia lilipoanza na hapa lilipo kuna mabadiliko makubwa kutokana na maboresho yaliyofanyika, tuna siku tano hapa za kufurahia mambo mbalimbali na tutahitimisha Disemba 31 kwa Mkesha Mkubwa wa kuupokea mwaka 2025” amesema Kambi

Naye Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bi. Nanjiva Nzunda amewahakikishia wananchi wote watakaofika Msanga Mkuu kuwa Serikali imeweka mazingira ya wao kufurahia kwa kupata huduma zote muhimu za kijamii.

Amesema Tamsaha la mwaka huu limekuwa na maboresho makubwa zaidi na wananchi watakaofika watajionea utofauti huo hivyo kuwasisitiza kufika kwa wingi.


Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU 2025 KUPOKELEWA MKOANI MTWARA MEI 17

    May 15, 2025
  • MTWARA TUKO TAYARI KUUPOKEA NA KUUKIMBIZA MWENGE WA UHURU 2025

    May 14, 2025
  • UFUTA NA MBAAZI KUPIMWA KIDIGITALI MKULIMA KUPATA RISTI KUPITIA SIMU YAKE

    May 14, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE. KANALI PATRICK SAWA AKAGUA MRADI WA MAENDELEO TANDAHIMBA

    May 05, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.