• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Soko la Chuno Kivutio Manispaa Mtwara Mikindani

Posted on: February 7th, 2020

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iko katika hatua yamwisho ya ukamilishaji wa ujenzi wa soko la kisasa katika Manispaa ya MtwaraMikindani.

  Picha na maelezo zaidi HAPA

Soko hili linatarajiwa kugharimu shilingibilioni 4.8 ambazo ni mkopo toka Benki ya Dunia kupitia mradi wa ujenzi nauendelezaji wa miji ya Kimkakati Tanzania (TSCP) na linatarajiwa kukamilikaMwezi Mei, 2020.

Licha ya kuondoa changamoto nyingi zawafanyabiashara na wananchi wa Mtwara kwa ujumla, soko hili linatarajiwakuupamba mji wa Mtwara kutokana na muonekano mzuri ambao unaleta hadhi kwaManispaa ambayo inaendelea na miradi mingine yenye sifa hiyo. Miradi hiyo nipamoja na mradi wa bustani za mapumziko, (recreation Centres), Mifereji yakuondoa maji ya mvua, barabara za lami na mingine mingi ambayo yoteinatekelezwa kupitia mkopo huo.

Soko hili ambalo halijatambulishwa jinalake rasmi limejengwa katika mtaa wa Chuno, ambao una barabara nzuri  inayopitikakipindi chote cha masika na kiangazi huku ikiwa na taa za kisasa ambazozinatumia umeme wa jua kuwahakikishia watumiaji wake usalama kwa muda wote. Piani barabara maarufu ambayo inaelekea maeneo mbalimbali ya fukwe maarufu kamavile Makonde, Kianga na Msangamkuu. Pia hotel Maarufu ya Naff Beach.

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Evod Mmandaanasema soko hilo litakuwa na uwezo wa kuhudumia makundi mbalimbali ya kijamii.Litakuwa na sehemu za kuweka migahawa, Ofisi na huduma nyingine nyingi nalimejengwa kwa namna rafiki kwa watu wa aina zote. Aidha, gharama za kupangakatika jengo hilo zitakuwa rafiki ili kuwezesha wananchi wa wilaya ya Mtwarakunufaika na huduma hiyo.

Kwa upande wao wananchi wa Manispaa yaMtwara Mikindani wameipongeza serikali kwa ujenzi wa soko hilo na kwambalitaongeza mapato na ubora wa bidhaa ambao umekuwa ukipotea kutokana nachangamoto ya uhifadhi.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA.

    June 24, 2025
  • MKURUGENZI MPYA NANYAMBA NA DAS MPYA MTWARA WATAKIWA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO

    June 23, 2025
  • MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUPUNGUZA UTEGEMEZI KWA WAFADHILI.

    June 28, 2025
  • MAREKANI KUTUMIA BANDARI YA MTWARA KUSAFIRISHA BIDHAA

    June 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.