• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

TET yakabidhi vitabu 11,812 mkoa wa Mtwara.

Posted on: January 30th, 2020


Mkoa wa Mtwara Umepokea jumla ya vitabu 11,812 kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET). Vitabu hivyo vya kiada vimekabidhiwa jana Januari 29, 2019 kisha kusambazwa wilaya zote za Mkoa wa Mtwara. Vitabu hivyo vinalenga kuondoa changamoto ya uhaba wa Vitabu katika shule zote za Msingi na sekondari kwa mkoa wa Mtwara ikiwa ni utekelezaji wa mikakati ya uboreshaji wa Elimu nchini unaoenda sambamba na sera ya Elimu Bila malipo.

Akizungumzia tukio hilo Mwakilishi kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Bi. Joyce Shuma. Amesema vitabu vilivyoletwa mkoa wa Mtwara ni pamoja na vile vitakavyotumiwa na wanafunzi wa Kidato cha kwanza na cha pili kwa masomo ya Historia na Jiografia, na Kidato cha Sita kwa masomo ya Sayansi (Kemia, Fizikia, Biolojia na Hisabati).

Aidha Idara ya Elimu Msingi imepokea Vitabu vya kujifunzia kwa wanafunzi wa darasa la sita na vitabu vya kufundishia vya walimu katika masomo ya Kiswahili, Hisabati, Sayansi na Teknolojia, Maarifa ya Jamii, Stadi za kazi, Uraia na Maadili pamoja na somo la kingereza.

Akizungumza wakati wa kupokea Vitabu hivyo Afisa Elimu Taaluma Mkoa wa Mtwara Salum Masalanga ameishukuru Serikali kwa kuleta vitabu hivyo na kwamba vitasaidia kuondoa changamaoto ya uhaba wa Vitabu katika shule zote hivyo ufundishaji utakuwa rahisi Zaidi.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • CRDB KANDA YA KUSINI YAISHIKA MKONO MTWARA MAANDALIZI YA UMISETA TAIFA

    May 27, 2025
  • KUELEKEA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI, MIKOKO 6,000 YAPANDWA MTWARA.

    May 31, 2025
  • KAMATI YA LISHE MKOA WA MTWARA YAKUTANA

    May 30, 2025
  • MIRADI YA UJENZI ITOE AJIRA KWA WANANCHI” WAZIRI ULEGA

    May 27, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.