• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA WAANZA MKOANI MTWARA

Posted on: January 28th, 2025

Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala ameongoza zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura linaloratibiwa na Tume huru ya Uchaguzi lililoanza mapema leo tarehe 28 Januari 2025 lenye lengo la kuandikisha wapiga kura wapya na kuboresha taarifa za wapiga kura walioandikishwa kwaajili ya Uchaguzi mkuu wa 2025.

“Mwaka 2020 sikuwa Mtwara, saizi nipo Mtwara hivyo imenibidi nije nirekebishe taarifa zangu na nimeshapata kitambulisho. Tutambue muda tulio nao ni juma moja hivyo nitoe wito kwa wana Mtwara wenzangu kujitokeza kuboresha taarifa, kwa wale ambao wametimiza miaka 18 au watatimiza siku ya kupiga kura na wale waliopoteza kadi wote wajitokeze katika zoezi hili.” Alieleza Kanali Sawala

Akieleza hali ya usalama kwenye mipaka na dhana ya wasio watanzania kuandikishwa katika daftari la kudumu la wapiga kura, Kanali Sawala alisema, Tume huru ya Uchaguzi imejipanga vizuri, imetoa mafunzo kwa watendaji wake kuhakikisha ni watanzania pekee ndio watakaopata kadi za kupiga kura.

Zoezi la Uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura kwa mkoa wa Mtwara litatamatika tarehe 03 Februari 2025.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.