• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Wadai uwekezaji Nanenane uwezeshe kufanya kazi mwaka mzima

Posted on: August 9th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa akiangalia baadhi ya mifugo katika mabanda ya maonesho ya wakulima Nanenane kanda ya kusini yaliyofanyika uwanja wa Ngongo mkoani Lindi


Wadau wa maonesho ya wakulima (Nanenane) wamezitaka taasisi zilizo na mabanda katika viwanja vya ngongo yanakofanyika maonesho hayo kwa Kanda ya Kusini kuhakikisha wanaweka mazingira mazuri kuwezesha mabanda hayo kufanya kazi kwa kipindi cha mwaka mzima.

Akizungumza wakati wa ukaguzi wa shughuli zinazofanyika katika viwanja hivyo  Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa, amesema kufanya hivyo kutafanya eneo hilo liwe hai kwa kipindi cha mwaka mzima na hivyo kuzisaidia halmashauri na taasisi husika kupunguza gharama za usafi wa mazingira kipindi maonensho yanapokaribia pamoja na kuwa chanzo kizuri cha mapato.

“ Jambo ninalolitaka kwa halmashauri zetu ni kuyafanya maeneo haya kutumika kwa kipindi chote cha mwaka. Hii ni changamoto ambayo lazima tupate majibu yake kwa sababu rasilimali zote tulizoziweka hapa zimekuwa zinaisha mara baada ya maonesho ya Nanenane. Tunachokitaka sasa wawepo kwa Muda mrefu.”

Aidha amezishukuru taasisi ambazo zimeanza utaratibu huo ikiwemo halmashauri ya Manispaa ya Lindi, Jeshi la Kujenga Taifa, Magereza na taasisi zingine zote ambazo ziko katika hatua mbalimbali ya kuhakikisha mabanda yao yanakuwa hai katika viwanja hivyo wakati wote.

Naye Mgeni Rasmi wa maonesho hayo ambaye pia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Omary Mgumba ameongeza kuwa miundombinu iliyoandaliwa kwa ajili ya maoensho haya ngazi ya kanda ya kusini yaendelezwe. Amesema serikali iliwahi kuweka mazingira kwa ajili ya wananchi kujifunza kilimo katika ngazi ya kata hivyo viongozi wanajukumu la kuhakikisha miundombinu hiyo inaendelezwa.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.