• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Walimu wilayani Masasi watakiwa kujipanga kuongeza ufaulu 2018

Posted on: February 5th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa akizungumza na walimu wa Shule za Msingi na Sekondari Wilayani Masasi katika vinjwa vya Ikulu Ndogo Masasi


Na; Joina  Nzali 

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Gasper Byakanwa amewataka walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani Masasi kuwa na Mipango madhubuti itakayo pandisha ufaulu wa elimu. Hayo ameyasema leo katika kikao kazi na walimu wote wa Wilaya ya Masasi kilichofanyika katika viwanja vya Ikulu ndogo mjini Masasi.

Amesema  mkoa wa Mtwara umekuwa ukishika nafasi za mwisho katika matokeo ya Mitihani ya Taifa ya darasa la Saba, kidato cha Pili na Nne kwa miaka mitatu mfululizo jambo ambalo walimu wanapaswa kujiuliza na kutoka mbinu bora ili kuhakikisha ufaulu unapanda.

“Mimi ninaamini walimu mkiamua kupandisha ufaulu mnaweza, siri kubwa ni kuweka mkakati wa pamoja wa namna ya kuhakikisha mitaala kwa madarasa ya mitihani yaani Darasa la Nne, la Saba, kidato cha Pili na cha Nne inamalizika mapema ili watoto waweze kupata muda wa kufanya mitihani ya kujipima yenye hadhi ya kitaifa kabla ya Mtihani wa Taifa” alisema Byakanwa.

Kuhusu changamoto ya mwamko mdogo wa elimu, Mkuu huyo wa Mkoa amewashauri walimu kuwa na vibao vilivyoorodhesha majina ya wanafunzi waliowahi kufanya vizuri katika ngazi mbalimbali kuanzia ngazi ya shule hadi taifa ili kuwapa ari ya ufaulu watoto wengine walioko shuleni.

Aidha Mheshimiwa Byakanwa ameelekeza kuwa shule itakayokuwa ya mwisho kiwilaya katika matokeo ya Mitihani ya Taifa ya mwaka 2018 viongozi wa shule hiyo watatoa maaelezo mbele ya mkuu wa mkoa  kwa nini wameshika nafasi hiyo.

Mkoa wa Mtwara umekuwa haufanyi vizuri Mitihani ya Taifa ambapo katika matokeo ya kidato cha Nne mwaka 2017 Mkoa umeshika nafasi ya 22 Kati ya mikoa 26



Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.