• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Wanaowapa Mimba watoto wa shule waendelee kudhibitiwa- Waziri Waitara

Posted on: March 10th, 2019

Mhe. Waitara akizunugmza na watumishi wa umma katika mkutano wa hadhara


Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Mwita Waitara amesema adhabu kali inayotolewa kwa wanaowapa mimba wanafunzi inalenga kukomesha kabisa tabia hiyo. Mhe. Waitara ametoa kauli hiyo wilayani Newala wakati akizungumza na Wanafunzi,Watumishi wa Umma pamoja na wazazi ikiwa ni mwendelezo wa Ziara yake ya kikazi mkoani hapa.

Amesema mipango ya serikali ni kuweka kipaumbele katika sekta ya Elimu huku ikilenga kila mtoto hususani wanafunzi wa kike kupata fursa ya elimu kama ilivyo sisitizwa katika katiba ya Nchi.

 

Aidha Mheshimiwa Waitara ambaye ana taaluma ya ualimu amewataka wanafunzi kuweka kipaumbele katika masomo ya Sayansi kulingana na uhitaji wake mkubwa katika jamii.

Nimepita madarasani. nimefundisha somo la hisabati. nimegundua kwamba kuna tatizo la uelewa katika mada za hisabati hivyo walimu wana kazi kubwa kuhakikisha wanafunzi wanafaulu vizuri. Amesema Waitara

Naye afisa elimu Mkoa wa Mtwara Germana Mung’aho amempongeza Mheshimiwa Naibu Waziri na kusisitza kuwa mkoa umejipanga kupambana na changamoto zinazowakabili wanafunzi

 

Akiwa wilayani Newala Naibu waziri ametembelea Miradi mbalimbali iliyo katika sekta ya Elimu na kushiriki katika kufundisha somo la hisabati katika shule ya sekondari Kiuta.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC SAWALA AAGIZA VYAMA VYA USHIRIKA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZA WAKULIMA.

    June 24, 2025
  • MKURUGENZI MPYA NANYAMBA NA DAS MPYA MTWARA WATAKIWA KUSIMAMIA MIRADI YA MAENDELEO

    June 23, 2025
  • MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATAKIWA KUPUNGUZA UTEGEMEZI KWA WAFADHILI.

    June 28, 2025
  • MAREKANI KUTUMIA BANDARI YA MTWARA KUSAFIRISHA BIDHAA

    June 30, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.