• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Wawekezaji wa korosho waendelea kujitokeza Mtwara

Posted on: February 4th, 2019

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara imeendelea kupokea wawekezaji katika sekta ya zao la korosho. Leo Februari 4, 2019 Mhe. Mkuu wa Mkoa amefanya mazungumzo na Bwana Carl Rehnberg kutoka Sweden.

Bwana Rehnberg ambaye amemtembelea Mhe. Mkuu wa Mkoa ofisini kwake anasema soko lake kubwa la korosho ni nchi za Scandinavia na amekuwa akiipokea korosho toka Tanzania kupitia wafanyabishara mbalimbali wa nje na ndani.

Anasema ameiona fursa kubwa ya kuwekeza katika kiwanda cha kubangua korosho hapa mkoani kwani mazingira yanaruhusu.

Ujio wa wawekezaji wenye sifa hii ni fursa muhimu katika kulipa zao la korosho thamani na kuondokana na wafanyabiashara wa kati.

Wawekezaji wengine waliojitokeza mwaka huu ni pamoja na Mkurugenzi wa makampuni ya IPP Bwana, Reginald Mengi.


Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • KUFANYA MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19 August 30, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • NI JUKUMU LETU VIONGOZI KUIELIMISHA JAMII UMUHIMU WA CHANJO - KANALI AHMED ABBAS AHMED_MKUU WA MKOA WA MTWARA.

    July 20, 2023
  • JIANDAENI KUTEKELEZA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 – KANALI AHMED ABBAS AHMED_MKUU WA MKOA WA MTWARA.

    July 19, 2023
  • SERIKALI KUENDELE KUWASHIKA MKONO WAATHIRIKA WA MAJANGA , MILIONI 231 ZATUMIKA – MHE. JENISTA MHAGAMA

    July 17, 2023
  • TUNATEKELEZA ILANI KWA VITENDO - DANIEL CHONGOLO_KATIBU MKUU CHAMA CHA MAPINGUZI.

    July 16, 2023
  • Tazama Zote

Video

Wakulima Mtwara wachangamkia kilimo cha Ufuta
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • NBS
  • IKULU
  • UTUMISHI
  • SALARY SLIP
  • e-GA

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.