• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Waziri Mkuu awasimamisha Maafisa Masasi TC

Posted on: February 26th, 2018

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassimu Majaliwa Majaliwa amewasimisha kazi Afisa Mipango wa Halmashauri ya Mji wa Masasi Teresia Msumba pamoja na Kaimu Mweka Hazina wa halmashauri hiyo Heri Hamadi kutokana na ubadhilifu wa zaidi ya shilingi bilioni 1.8 za ujenzi wa jengo la utawala la halmashauri hiyo ambalo halijaisha tangu mwaka 2014.

Heri Hamad. Kaimu Mweka Hazina Masasi TC akijibu Maswali ya Mheshimiwa Waziri Mkuu (hayupo Pichani)

Aidha Mheshimiwa Majaliwa ameagiza asakwe popote alipo aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Fortunatus Kagoro ili wote kwa pamoja wahojiwe na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na rushwa TAKUKURU.

    Telesia Msumba. Akijieleza kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu (Hayupo mpichani) wakati wa Kikao kilichofikia maamuzi ya Kumsimamisha kupisha uchunguzi dhidi yake


Mheshimiwa Mjaliwa amechukua hatua hiyo wakati wa kikao na watumushi wa Halmashauri Wilayani Masasi kilichofanyika katika viwanja vya Ikulu Ndogo Mjini Masasi.

Amesema fedha hizo zilitolewa kwa nyakati tofauti na serikali Kuu kwa ajili ya ujenzi wa jengo la utawala la halmashauri hiyo jambo ambalo halikutekelezwa kama ilivyoagizwa.


Video yake Hii HAPA



Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2022 November 24, 2021
  • Majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo February 09, 2018
  • KUFANYA MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19 August 30, 2021
  • Matokeo ya Kidato cha NNe 2017 January 30, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MKUU WA MKOA KUTILIA MKAZO ELIMU NA UKUSANYAJI MAPATO

    August 04, 2022
  • Zingatieni Sheria ya Mazingira. ‘’Jafo’’

    December 20, 2021
  • BILIONI 268 KUMALIZIA BARABARA YA MTWARA – NEWALA HADI MASASI KWA KIWANGO CHA LAMI

    November 25, 2021
  • BANDARI YA MTWARA KUPOKEA MELI KUBWA NA KUSAFIRISHA MAKAA YA MAWE KWENDA NJE YA NCHI.

    November 01, 2021
  • Tazama Zote

Video

Wakulima Mtwara wachangamkia kilimo cha Ufuta
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • NBS
  • IKULU
  • UTUMISHI
  • SALARY SLIP
  • e-GA

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.