• Wasiliana Nasi |
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mtwara Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Mtwara

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Mipango na Uratibu
      • Rasilimali watu
      • Elimu
      • Miundo Mbinu
      • Maji
    • Kitengo
      • Huduma za Kisheria
      • TEHAMA
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Fedha na `Uhasibu
  • Wilaya
    • Mtwara
    • Newala
    • Tandahimba
    • Masasi
    • Nanyumbu
  • Halmashauri
    • MtwaraMC
    • MtwaraDC
    • Tandahimba
    • NewalaDC
    • MasasiDC
    • MasasiTC
    • NanyumbuDC
    • Newalatc
    • NanyambaTC
  • Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Profile za Watumishi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Tukio
  • Ijuwe Mtwara

Zoezi la Serikali kununua korosho linaenda vizuri - Waziri Hasunga

Posted on: November 17th, 2018

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Japhet Hasunga amesema malipo ya wakulima wa korosho yameanza leo na kwamba hatua hiyo imefikiwa baada ya uhakiki ambao umekamilika kwa vyama vya Msingi 35.

Amesema bado uhakiki unaendelea na kwamba ndani ya wiki mbili watakuwa wamekamilisha na hivyo kila mkulima aliyefiksiha korosho yake sokoni atalipwa fedha yake kwa wakati.

Mheshimiwa Waziri ameyasema hayo jana Novemba 16, 2018 wakati wa kikao chake na waandishi wa habari klilichofanyika kwenye ukumbi mdogo wa Boma ulioko Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara.

Ametahadhalisha baadhi ya wakulima ambao baada ya kuona serikali inanunua korosho kwa bei nzuri wameanza kuingiza korosho za daraja la chini ambazo zilibaki kwenye misimu iliyopita. Amesema korosho hizo tani 20 zimepatikana kwenye ghala la Olam zikiwa zimetokea Chama Cha Msingi Mnyawi kilichoko halmashauri ya Wilaya ya Nanyamba. Pia gunia 5 ambazo zilitokea chama cha Msingi Mbembaleo. Amewataka wananchi kuepuka mambo hayo kwani serikali iko makini na itawabaini wote watakaofanya kinyume na utaratibu.

Vilevile amesema gunia 152 ambazo zilikamatwa zikisafirishwa kutoka nchi jirani ziko chini ya ulinzi na taratibu za kisheria zinaendelea ikiwemo kutaifisha mali hiyo.

AIdha Mheshimiwa Waziri amesema utaratibu wa malipo ya fedha za wakulima ni moja kwa moja kwa wakulima badala ya kuzipitisha kwenye vyama vya msingi. utaratibu huo umechukuliwa ili kufanya zoezi liende kwa haraka na kukamilika kwa wakati.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2024 January 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU KARIBU MTWARA

    May 17, 2025
  • JESHI LA POLISI TANZANIA YATUPIA JICHO MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA MTWARA

    May 20, 2025
  • MWENGE WA UHURU MASASI

    May 18, 2025
  • NANYUMBU WAANZISHA BIO ZA MWENGE MTWARA

    May 17, 2025
  • Tazama Zote

Video

"MIRADI YA GESI KUNUFAISHA WAKAZI" MHE. DKT. DOTO BITEKO
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • IKULU
  • UTUMISHI
  • e-GA
  • MAOMBI YA KUCHOMA CHANJO YA UVIKO-19
  • SALARY SLIP
  • NBS
  • TAMISEMI

Kurasa Mashuhuri

  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • WIZARA YA HABARI
  • TAMISEMI

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo kwa Ramani

Wasiliana Nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara

    Anuani ya Posta: 544, MTWARA

    Simu: +255 23 2333014

    Mobile: +255 23 2333014

    Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara. Haki zote zimehifadhiwa.