Posted on: July 11th, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas Ahmed amesema lengo la Serikali kutoa magari katika sekta za Elimu na Miundombinu ni kuimarisha ufuatiliaji wa ujifunzaji na ufundishaji katika shule za Mtwar...
Posted on: July 8th, 2023
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) ametembelea shule ya Sekondari Dinyecha iliyopo katika Kijiji cha Chikwaya ambayo ipo katika ujenzi kujionea namna shughuli zin...
Posted on: July 8th, 2023
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) amewaambia wananchi wa Kata ya Nanguruwe iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara kuwa Serikali imedhamiria kubadilisha m...