Posted on: February 16th, 2020
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe Gelasius Byakanwa akisisitiza jambo wakati wa kikao cha Tathimini ya utekelezaji wa mkataba wa afua za lishe Mkoani Mtwara
Maafisa Lishe mkoani Mtwara wametakiwa...
Posted on: February 15th, 2020
Mkoa wa Mtwara unatarajia kupanda miti isiyopungua milioni tano kwa kipindi cha mwaka 2020. Miti hiyo itapandwa kupitia watu binafsi, vikundi na taasisi mbalimbali za kiserikali na zisizo za serikali....
Posted on: February 7th, 2020
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iko katika hatua yamwisho ya ukamilishaji wa ujenzi wa soko la kisasa katika Manispaa ya MtwaraMikindani.
Picha na maelezo zaidi HAPA
...