Posted on: January 19th, 2019
Zainabu Mnyahi Nanchenda.
Maisha ni kupambana. Maisha ni kukazana. Neno moja la kimakonde linalobeba maana yote hiyo ni Tutumbame. Kwa asili ya wamakonde wanaopatikana mkoa wa Mtwar...
Posted on: December 31st, 2018
Mbunge wa Mtwara Vijijini Mhe. Hawa Ghasia ameonesha uwezo mkubwa wa kuogelea wakati wa tamasha la “Msangamkuu Beach Festival “lililofanyika Disemba 30,2018.
Ghasia ambaye anadai ana uzoefu wa kuog...
Posted on: December 31st, 2018
Timu ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara imeshindwa vibaya na Timu ya jeshi la Polisi Mtwara katika mashindanio ya kujaza maji kwenye ndoo.
Mashindano hayo yaliyofanyika wakati wa Tamasha la “Msanga...